Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Dah! Haya mambo haya... Kuna siku ukimya huuu kutojishughulisha na stranger nikaambiwa dada inaonekana una dharau za viwango. Nilijiskia vibaya rohoni ila ndiyo nikaendelea kuuchuna tu.
Kwanza mada inahusu nini? Maana nilivyotokea ghafla..
Sijui kwanini watu wakimya huwa tunatafsiriwa hivyo. Yaani mtu unajishusha kukaa kimya ili uwe msikilizaji zaidi kuliko muongeaji unaambiwa unajisikia binadamu hawana jema just do you.
Hii mada hata sikumbuki ilipoanzia. Ila tangu jana tumejikuta tu tunaongelea habari za upole tu.











