Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

tena ramli chonganishi
Mimi nawaonaga Kama comedian hivi maana umishamzidi hoja anakuoachina uanaharakati,Mara usingle mother,Mara anakupachika miaka
Yaani anatapatapa Kama maharage yanayofurumia motoni
 
hongera Sana maana wengi wao huwa wanakosaga hata nguvu ya kujitetea

Hayo mazuri ni yapi?
Yapo
Utayaona kadiri utakavyoendelea kujifunza.

Sasa nguvu za kugombana nikose,hadi za kutype Jamani lol! siwezi.
Yaani Leo bila yule kuacha tungekesha pale.

Mimi huwa naongea ninacho kiamini na huwa sipo tayari kubadili msimamo katika kitu
 
Back
Top Bottom