Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Ile uliyocomment juzi Kati hapa sikufutaKwani wewe tangu lini ukaweka picha zako sasa
Ile uliyocomment juzi Kati hapa sikufutaKwani wewe tangu lini ukaweka picha zako sasa
hongera aiseeemimi nikiandika kwenye plain paper mwandiko unakaa kama ramani sijui ya wapi

Yes jana niliiweka robo leo nimeongeza kidogo....i think ipo bado sikuitoa
sura nimeweka ila nikafuta ghafla hahahaTunaomba tuone sura
Naomba nionesura nimeweka ila nikafuta ghafla hahaha

Ile uliyocomment juzi Kati hapa sikufuta
Nikapita
Nakwenda kutetea haki vizuri October![]()



Kila la heri madam ntakujaa kukupigia kampeniNjooKila la heri madam ntakujaa kukupigia kampeni
Naomba muonyeshe na zile za juzi katiMkuu ismail hassan picha ya Saint Anne

Naomba muonyeshe na zile za juzi kati
Wameniandama humu wanasema Mimi nawadanganya![]()



zile za juz kati mwenyew nmezipoteza at least hii nmekumbuka comment #Ngoja nikapashe mdomoKwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?
Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?



#66397zile za juz kati mwenyew nmezipoteza at least hii nmekumbuka comment #



Nimeweka umechelewa nimeitoa mkuu....#66397
Nashangaa ananiambia haoni.
Nimemtag ila haoni
Naomba unisaidie kumuonyesha..labda simu yangu ina matatizo
AiseeNimeweka umechelewa nimeitoa mkuu....


Mkuu imekaa mbona, ngoja badae kidogo nitaweka....Aisee
Tatizo unatoa haraka mno
Nimeona Ila fanya kutuma nyingne nikuone vzr na mm nikufananishe na mtu uliyefanana nae