Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#Kivuli
20200809_160854.jpg


Afro ya kizushi 😎😎
20200809_205556.jpg


My friend #shot it 📸
20200809_165446.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss katika vitu nimeshindwa ni kuandika "t" na kuweka hicho kimkato katikati..yaani najikuta naweka juu kabisa Tena naweza weka juu Zaidi ya hapo.
Nimejikuta nazoea kuweka huo mkato baada ya kumaliza kuandika neno.
Halafu haya mazoea yamejenga tabia

Nina tatizo hilo na kwenye kuandika H[emoji1787][emoji85]View attachment 1532270View attachment 1532272
Mkuu unaandika vzr sana hadi raha , nataman uwe mwalimu wangu wa mwandiko [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wengine tunajaza daftari kwa siku[emoji3]
Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika
Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote.

Mimi navyocharanga kama bata, nikimaliza kuandika huwa hata sitaki kuangalia nilichoandika
 
Back
Top Bottom