Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wengine tunajaza daftari kwa siku[emoji3]
Ni muda tu, nadhani kuna muda utafika na mimi nitasahau maswala ya kuandika
Japo napenda Sana kuandika..haiwezi pita siku sijaandika chochote.

Duuh hongera sana aise natamani ningekuwa na spirit kama yako. Mie mvivu sana kuandika.
 
...
20200809_183801.jpg
 
Aise mimi ukitaka kuniaibisha nipe karatasi plain niandike yaani mistari inapinda. Na nilivyo na muandiko mbaya kama bata kapita ndiyo kabisa.
Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari

I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu..
Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092][emoji2092][emoji2092]
 
Mimi naweza zaidi kwenye karatasi plain kuliko yenye mistari

I wish humu ndani siku moja tuchat kwa miandiko yetu..
Wallah Kuna comments tutashindwa kuzisoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092][emoji2092][emoji2092]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko kutakuwa ni kutaka kuaibishana sasa, tuache tu teknolojia ifanye kazi yake tusitake kuchoshana aise.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hampendi kuandika kwa mikono yenu jamani
 
Back
Top Bottom