cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,237
Poleeeeh dea lol, au network inasumbua?Mwee
Wote mmenikuta hapa ila mmeona mimi sijaona![]()
Poleeeeh dea lol, au network inasumbua?Mwee
Wote mmenikuta hapa ila mmeona mimi sijaona![]()
Hahah itakuwa haikufungika nika like tuu, halaf mbona watu wanaogopa kutuma picha na sura?Juzi hapa nimeweka #66427 na nimepanda juu nimekuta like Yako halafu unasema hukuona.
Wewe msahaulifu



Kuna watu nilikuwa najiandaa kuwaomba picha zao ila wameweka Kama muujiza hivi halafu Hili apptena mapepo ya kikwao kabisa

Mwee
Wote mmenikuta hapa ila mmeona mimi sijaona![]()



pole mimi nakucheka hapa wakati mwenyewe natumia app kwahiyo na mimi muda wowote naweza anza kuona hayo mashikolo, yaani app users siyo wa kuchekana kabisa mwenzako akinyolewa we zako tia maji tu. 



Hapa sawayah ni ww tu madam Annie








Sehemu za starehe, kupumzika, kuenjoy, na mandhari kiujumla, kuhusu hela so tatizo kabisaaah. Tena nataka nikukute huko huko.Mje na hela za kutosha, then unataka kujua kuhusu nini? Specify...
Afadhali nitasafishiapo nyota mweeDepal naomba muongozo wako, yaani unipe details kuhusu jiji la Arusha, maan nimeambiwa likizo napelekwa vacation huko, kwahiyo nahitaji kujua mengi zaidi kabla sijafika.
Zoë Saint Anne nafasi za wasindikizaji zipo so kazi kwenu.

We Tanayzer yukwapi? Hebu nitag ilipo nikusaidie kuisaveKuna watu nilikuwa najiandaa kuwaomba picha zao ila wameweka Kama muujiza hivi halafu Hili app
Nitunzie picha zote zilizowekwa.
Hasa ya Tanayzer mgeni
Ndo km mie hivyooh, natulia kuona maruhani yakija kwangupole mimi nakucheka hapa wakati mwenyewe natumia app kwahiyo na mimi muda wowote naweza anza kuona hayo mashikolo, yaani app users siyo wa kuchekana kabisa mwenzako akinyolewa we zako tia maji tu.
![]()




Koh! Koh! Una lips nzuri. Na hizo ndevu style ndiyo inaitwaje?
Inaitwa kantangazeKoh! Koh! Una lips nzuri. Na hizo ndevu style ndiyo inaitwaje?
That's greatHapa sawa
Tena ikiwezekana darasa lianze Leo![]()
, tuanze tuu me npo tayari, npo tayar hata kukulipa.......Usijariih kabisaaah utatua hayo maeneo sasa, live bila chenga.Afadhali nitasafishiapo nyota mwee
Sijawahi fika Arusha![]()
Depal naomba muongozo wako, yaani unipe details kuhusu jiji la Arusha, maan nimeambiwa likizo napelekwa vacation huko, kwahiyo nahitaji kujua mengi zaidi kabla sijafika.
Zoë Saint Anne nafasi za wasindikizaji zipo so kazi kwenu.
Hotel tamu zipo nyingi budget yenu ni kama sh ngapi? Me utanikuta tu nimejaa kama pishi la mchele kitumbo...Sehemu za starehe, kupumzika, kuenjoy, na mandhari kiujumla, kuhusu hela so tatizo kabisaaah. Tena nataka nikukute huko huko.
Kuna watu nilikuwa najiandaa kuwaomba picha zao ila wameweka Kama muujiza hivi halafu Hili app
Nitunzie picha zote zilizowekwa.
Hasa ya Tanayzer mgeni
Acha hizo. Namaanisha kuna ile mustache, uchebe na hiyo ni?Inaitwa kantangaze
Mil 5 na chenji zake yaan.Hotel tamu zipo nyingi budget yenu ni kama sh ngapi? Me utanikuta tu nimejaa kama pishi la mchele kitumbo...
Sehemu za starehe ni nyingi, mchawi doo tu
Ndo km mie hivyooh, natulia kuona maruhani yakija kwangu![]()





kwa kweli haya ni maruhaniHii ni mutton chopsAcha hizo. Namaanisha kuna ile mustache, uchebe na hiyo ni?