Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu hata mimi nahisi ninakuwa huru zaidi ninapomzoea mtu. Kama mtu sijamzoea nakuwa kama bubu yaani sina cha kuongea zaidi ya kujibu atakachoniuliza tu basi.
Dah! Haya mambo haya... Kuna siku ukimya huuu kutojishughulisha na stranger nikaambiwa dada inaonekana una dharau za viwango. Nilijiskia vibaya rohoni ila ndiyo nikaendelea kuuchuna tu.

Kwanza mada inahusu nini? Maana nilivyotokea ghafla..
 
Haha immediately back up requested!! Hufai wewe
Roger that
IMG-20200809-WA0094.jpg
 
Back
Top Bottom