T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,092
Nanenane Bariadi-Simiyu
Basi wewe kwenye upole haupo
Heeeeeh ajali mbaya hii ni wapi huko?Crown imeishaView attachment 1531518
Bariadi-SimiyuHeeeeeh ajali mbaya hii ni wapi huko?
Tobaaah hivi wahusika wapo salama kweli mmmmh.Bariadi-Simiyu
Hapana hawapo salama ni majeruhiTobaaah hivi wahusika wapo salama kweli mmmmh.
Yaani acha tuKimbia haraka sana, hizo zina corona oooh![]()


.naona notifications za Corona tuMambo hayoTena unapelekwa dom kwa ndinga angu, raha iliyoje hapo uwiiiiiih


Mungu wangu weeeeh, yaan hadi natetemeka kwa hofu hapa, Jah awaponye kwa kweli.Hapana hawapo salama ni majeruhi
Ni ajali ya gari nne na trekta kwa wakati mmoja
Basi hawajui kumsoma mtu.Daah ila asante kama hata angalau umeniona mimi mstaarabu kuna watu wananiona kauzu mkorofi muongeaji sina adabu but mwisho wa siku mimi napenda matani tu
Though sina maana matani yangu ndiyo yawe kikwazo kwa wengine

Yaani acha tu.naona notifications za Corona tu



kimbia haraka kabisaaahMUNGU wanguCrown imeishaView attachment 1531518
