Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
SiweziUsiwatag lakini
Mmhh kuna wengine walikuwa serious mfano huyo dada aliyedakia hivyo alikuwa serious
Napita kimyakimya
SiweziUsiwatag lakini
Mmhh kuna wengine walikuwa serious mfano huyo dada aliyedakia hivyo alikuwa serious
Probably tips mkuu, niko mwenyewe mwenyewe leo sijajisoma
Siwezi
Napita kimyakimya
Na upole wote huuExactly! Wewe siyo mpole bali ni mstaarabu tena kupita kiasi!



Yawezekana ukiwa haupo nyumbani unakuwa mkorofi.nini tena mama, mwanao naambiwa nina sifa hizo eti sasa labda wewe uwe unanitetea aisee.
Bora umeongea na wewe. Natamani kama wale watu walionipa zile sifa wapite hapa waone sijui niwaite.
Saint Anne unakumbuka kwenye ule uzi wa sijui mtag mtu kisha weka sifa yake moja kuna mtu alisema Zoë namuona mbishi hasa kwenye masuala ya kutetea wanawake anaweza akabishana na JF nzima. Akaja mtu akadakia kuwa eti mimi ni mbishi hadi in real life daah.




Mwacheni mwanangu, halafu sijui kapotelea wapi!! Ngoja nimsake.nadhani kamsahau da’vinci






Hiyo hapo
Yawezekana ukiwa haupo nyumbani unakuwa mkorofi.
Mwacheni mwanangu, halafu sijui kapotelea wapi!! Ngoja nimsake.



alikuwepo kule kwenye uzi wa iphone anatafuta brand nzuri ya simu ya kununua kasema eti ameichoka brand ya samsung, mnunulie tu tecno sasa.Kweli wewe mpole dear hukuwahi hata kumuambia kuwa asiendelee kufanya hivyoMimi siwezi kuwa mkorofi! Naogopa sana watu na hata mtu akinipiga huwa naogopa kumrudishia hata kama nina uwezo huo!
Kuna roommate wangu mmoja alikuwa anapenda sana kunionea kila akinikuta room lazima anizabue bao basi tu kunichokoza! Halafu akawa anasema eti anafanya vile sababu anajua mimi siwezi kumrudishia na kweli sikuwahi kumrudishia maana mtu mwenyewe ukimuangalia hata mkononi hajai basi tu ni vile alinikuta mimi mpole!
Kweli wewe mpole dear hukuwahi hata kumuambia kuwa asiendelee kufanya hivyo
Ooh okay , I feel youNilikuwa namuambia ila hilo ndiyo lilikuwa jibu lake kuwa anafanya vile sababu anajua mie siwezi kumrudishia hivyo hawezi kuacha. Kwahiyo ilibidi nikubali tu kuwa punching bag yake.
The good thing ni kwamba alikuwa hanichukii bali alikuwa anafanya vile for fun tu. Hivyo sikuwahi itafsiri kama chuki basi tu nikajikuta nimezoea infact wengine tulishazoea kuonewa bila sababu.
Ooh okay , I feel you
Mimi nilikuwaga mpole mno badaae yakanishinda Kila mtu akawa ana take advantage of the situation nikajiapisha hamna atakayekuja kunionea tena ,Naongea siku hizi mno sio mpole tena