Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Naomba kuona picha ya kitambi jamani![]()

woii wewe mrembo ulipotelea wapi jamani ??Naomba kuona picha ya kitambi jamani![]()

woii wewe mrembo ulipotelea wapi jamani ??Hahahaha, naiombaMe ninayo
Leta kwanza donge nonoHahahaha, naiomba
MmmmhHaya basi nakumbembeleza weka picha mpendwa.
Hahahaha, unadeka ?umenifokea
Sijaona pichaLeta kwanza donge nono
Zoë popote ulipo naomba kuona picha yako, kabla sijakugeuza chuma ulete wangu,naomba picha bhana dea lol


Yah
Ila ule mwaka siji kuusahauulinipeleka kama feni mbovu.
Usiombe ukamatwe semester ya mwanzo.. yaani semester inayofwata mtu unatetemeka kama umemwagiwa maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya wasomi hayaHahaha
Nakumbuka sup yangu ya mwaka wa kwanza nililia kabisa. Sema ndiyo ilikuwa ya kwanza na mwisho....
Sawa bossHaya basi nakumbembeleza weka picha mpendwa.
ila usinifukuze kazi ya kuuza visheti buzaWatume kwanza tuoneHahahaha, unadeka ?
Weka picha basi. Kwani unasubiri mbembelezo wa rangi gani?Watume kwanza tuone
Sasa jamani kwani coca ametaka picha yangu?



basi tu namuwekea dau hapaSoon


Nilituma 2 boss wanguWeka picha basi. Kwani unasubiri mbembelezo wa rangi gani?
sema niendelee kutumaAseeWeka picha basi. Kwani unasubiri mbembelezo wa rangi gani?
Endelea boss 😍Nilituma 2 boss wangusema niendelee kutuma