Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Me mwenyewe nilipataga ya first semester sema nikapata mshauri mkongwe wa chuo akanifundisha kucheza na beats hata sikuhangaika sana tena.
Wakabaki wale wanoko wa assignment tu kuhangaika nao kwenye floors kuomba maksi

Mwanzo wa semester ni mbaya
Ila mwalimu hajanizungusha bado kwenye korido..kama hataki tu kufanya fair ni bora tu nirudi Sept kuliko kwenda kumlilia hovyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom