Duuuuh poleeeh sanaah
MmmmhEndelea boss![]()
Huhuhuuuuh niitie haraka san huyo binti mstaarabu na mwenye IQ kubwa niseme nae jambo muhimu,




Me mwenyewe nilipataga ya first semester sema nikapata mshauri mkongwe wa chuo akanifundisha kucheza na beats hata sikuhangaika sana tena.
Wakabaki wale wanoko wa assignment tu kuhangaika nao kwenye floors kuomba maksi![]()









Omba Mungu upone.Duuuuh poleeeh dea, mie naogopa hiyo kityuuh lol




Cannabis sativa.
U r Gentleman
Sasa mbona Sikufahamu? Hebu toa hayo madude dude usoni
Safari hii kajizuia na Helment za pikipiki sijui.Usiku mwema jamani. Saint Anne nakupa kazi hiyo Virgo Man akipost picha pls screenshot kesho utanipa.
Nilikuwepo
Kaweka tayari...Usiku mwema jamani. Saint Anne nakupa kazi hiyo Virgo Man akipost picha pls screenshot kesho utanipa.
Nilikuwepo
Duuuh mie huyu nna bado miaka km yoteeh, ntachomoka kweli lolOmba Mungu upone.
Mimi mwenyewe nilikuwa naogopa ila miaka ikasogea na hatimaye nikashikwa.
It's possible japo ni kazi sana.
Yaani miaka yote 2,3,4 au 5 yote uchomoke
Sent using Jamii Forums mobile app
@Saint Anne anasema kilele cha mlima KilimanjaroMnaongelea nini? Kilele kipi?![]()