Niko hapa nasubirineno lako ni amri kwangu
nitatii sheria bila shuruti
Walaaa.Nikupe kitambulisho cha NiDA ama birth certificate?
Nilijitahidi mazoezi yamenishinda,
Nimeshafunga ndoa na kitambi changu.
Wewe unawezaje eti!??





Okey.Atakuja kusema kama ni yeye.
Aisee..
Hahaha,ila bora wewe naona unamorali.
Mi mwenyewe ni tia maji tia maji.
Ukiwa na kampan kidogo inasaidia.Hahaha,ila bora wewe naona unamorali.
Mie labda nitafute kamba nianze kwa hatua..
NiceBabe nimezihifadhi, utaziona zote.View attachment 1528151
Babe nimezihifadhi, utaziona zote.View attachment 1528151




that's my babe! Kuna app naweka ili nitoe hilo giza hapo

that's my babe! Kuna app naweka ili nitoe hilo giza hapo
![]()






Moyo umeanza kudunda nikiwa njiani wallah!!!
Just come home, hutotoa giza tu![]()



Naomba kuona picha ya kitambi jamani😀Nilijitahidi mazoezi yamenishinda,
Nimeshafunga ndoa na kitambi changu.
Wewe unawezaje eti!??
Angalia usije zima, we still need you.Moyo umeanza kudunda nikiwa njiani wallah!!!![]()
Hahah Carb!!nilikumiss ulipotelea wapi!??Naomba kuona picha ya kitambi jamani![]()
..and I still need to be next to you, teh!!Angalia usije zima, we still need you.
😂😂hivi hujaacha ubishi tu?Hahah Carb!!nilikumiss ulipotelea wapi!??
Kwani kitambi changu hukijui!??