Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Hivi alishawahi weka yake hata moja?Usihame bhana
Post kwanza zako nao watarepost zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi alishawahi weka yake hata moja?Usihame bhana
Post kwanza zako nao watarepost zao
Nifundishe na Mimi kuangalia movie.
Haiwezekani hadi Sasa sijui hayo madudehata ka kusingizia
Sent using Jamii Forums mobile app

Mie mwenyewe ukitoa hizo nilizotaja hapo hakuna movie nyingine nimeona hivyo nazijua hizo tu!





Tatizo alikuja kuvuruga vikao huko ubelgijiHiyo ni kazi yako ujue
Kumbuka tuligawana kila mtu na mtu wake wa kumrudisha ambaye yupo naye mkoa mmoja sasa wewe mtu upo naye huko unaniambia mimi tena ndiyo nimrudishe![]()
,toka ameondoka huku hajarudi tenaAisee! Ngoja nitulie kwanza jamani!
Yaani nilichekakhaa





Umeona anavyonionea
Mtoto mdogo sijui movie ya kifilipino hata moja
Sent using Jamii Forums mobile app



kwanza nimeghairi achana na dada yangu, mtafute dada yako akufundishe kuangalia movie za kikorea hizo ndiyo zinakufaa. 

Si bora hata wewe unajua hizo.Mwee hivi kumbe kuangalia movie nako kunafundishwa?Mie mwenyewe ukitoa hizo nilizotaja hapo hakuna movie nyingine nimeona hivyo nazijua hizo tu!
By the way mimi si mwalimu mzuri. Nafikiri muone Jael atakusaidia.

Hayo madude mwachie huyo mtoto, bado ana muda mwingi wa kupoteza.



mweeKhantwekwanza nimeghairi achana na dada yangu, mtafute dada yako akufundishe kuangalia movie za kikorea hizo ndiyo zinakufaa.
![]()




Saaaaaafi sana aisee! Ngoja nisogee niitazame vizuriHii niliselfika jana usiku nikasahau kupost. View attachment 1525578
Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
Tatizo alikuja kuvuruga vikao huko ubelgiji,toka ameondoka huku hajarudi tena
Mmemficha nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aje tuwe tunaangalia, ila sio yale madude yako hayaeleweki.Mwee hivi kumbe kuangalia movie nako kunafundishwa?Mie mwenyewe ukitoa hizo nilizotaja hapo hakuna movie nyingine nimeona hivyo nazijua hizo tu!
By the way mimi si mwalimu mzuri. Nafikiri muone Jael atakusaidia.
Zoe huyo alikuja kumchukua hukuAh wapi yuko huko huko mtafute
We jifanye unaleta kiswahili kirefu hapa





Yaani nilicheka
Ujue watu wakiazima PC yangu wanashangaa,haina movie japo ya nsyuka
Humo ndani Ni kwaya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo anapokoseaThubutuuu! Aweke dunia imcheke?


Ndo maana nasema nifundishe sasaAisee hayo ni matumizi mabaya ya pc binti
Hebu fanya uweke hata katuni basi