Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nifundishe na Mimi kuangalia movie.
Haiwezekani hadi Sasa sijui hayo madudehata ka kusingizia

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwee hivi kumbe kuangalia movie nako kunafundishwa? Mie mwenyewe ukitoa hizo nilizotaja hapo hakuna movie nyingine nimeona hivyo nazijua hizo tu!

By the way mimi si mwalimu mzuri. Nafikiri muone Jael atakusaidia.
 
Hiyo ni kazi yako ujue
Kumbuka tuligawana kila mtu na mtu wake wa kumrudisha ambaye yupo naye mkoa mmoja sasa wewe mtu upo naye huko unaniambia mimi tena ndiyo nimrudishe
Tatizo alikuja kuvuruga vikao huko ubelgiji,toka ameondoka huku hajarudi tena
Mmemficha nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwee hivi kumbe kuangalia movie nako kunafundishwa? Mie mwenyewe ukitoa hizo nilizotaja hapo hakuna movie nyingine nimeona hivyo nazijua hizo tu!

By the way mimi si mwalimu mzuri. Nafikiri muone Jael atakusaidia.
Si bora hata wewe unajua hizo.
Mimi sijui hata moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza nimeghairi achana na dada yangu, mtafute dada yako akufundishe kuangalia movie za kikorea hizo ndiyo zinakufaa.
Khantwe
Sasa kikorea na Mimi wapi na wapi?
Yaani nikasikilize kikorea halafu nianze kusoma subtitle kwa kizungu,unataka kunipasua kichwa???

Bongo movie tu huwa nachoka kusikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom