Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Mmhh hebu acha zako
Basi na mie sijui hizo nimesimuliwa
Kweli TenaMmhh hebu acha zako
Basi na mie sijui hizo nimesimuliwa






Khantwe
Sasa kikorea na Mimi wapi na wapi?
Yaani nikasikilize kikorea halafu nianze kusoma subtitle kwa kizungu,unataka kunipasua kichwa???
Bongo movie tu huwa nachoka kusikiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app





si unaangalia zilizotafsiriwa na lufufu, hapo unakuwa haupati shida ya kusikiliza maneno wala kusoma subtitles wewe ni kuangalia tu actions.

Nitakutumia kwenye Basi kadogo kangu
Wale ambao huwa wanapiga kelelesi unaangalia zilizotafsiriwa na lufufu, hapo unakuwa haupati shida ya kusikiliza maneno wala kusoma subtitles wewe ni kuangalia tu actions.
Ila mimi movie zilizotafsiriwa tena za kikorea sijui kihindi haunikalishi chini kutazama hata kwa bunduki, wanakuwaga waongo sana wale watafsiri haki ya nani.![]()
Aje tuwe tunaangalia, ila sio yale madude yako hayaeleweki.





mbona yanaeleweka jamani, inatakiwa muangalie kwa kutulia.



Fanya kesho unitumie aiseeNitakutumia kwenye Basi kadogo kangu

Hapo ndipo anapokosea
Anakazania wenzie waweke huku yeye hajawahi kuweka japo kidole.
Hivi picha yake hauna kweli nije kuomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkomalieni Naye aweke yakeSijui ana matatizo gani jamani! Yani hajawahi kuweka hata kwa bahati mbaya!
Yaani nitulie kuangalia mavitu ya ajabu hata hayaelewekimbona yanaeleweka jamani, inatakiwa muangalie kwa kutulia.


@SHIMBA YA BUYENZE kuja jibu hapa...



Gate pass ya kuingilia nyumbani kwako ni ipi?Ngoja nimwekee picha.
View attachment 1527130



