Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Khantwe
Sasa kikorea na Mimi wapi na wapi?
Yaani nikasikilize kikorea halafu nianze kusoma subtitle kwa kizungu,unataka kunipasua kichwa???

Bongo movie tu huwa nachoka kusikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app

si unaangalia zilizotafsiriwa na lufufu, hapo unakuwa haupati shida ya kusikiliza maneno wala kusoma subtitles wewe ni kuangalia tu actions.

Ila mimi movie zilizotafsiriwa tena za kikorea sijui kihindi haunikalishi chini kutazama hata kwa bunduki, wanakuwaga waongo sana wale watafsiri haki ya nani.
 
si unaangalia zilizotafsiriwa na lufufu, hapo unakuwa haupati shida ya kusikiliza maneno wala kusoma subtitles wewe ni kuangalia tu actions.

Ila mimi movie zilizotafsiriwa tena za kikorea sijui kihindi haunikalishi chini kutazama hata kwa bunduki, wanakuwaga waongo sana wale watafsiri haki ya nani.
Wale ambao huwa wanapiga kelele
"Ooh sijui namna gani fulani,akampiga sijui Nini" hizi hujanikalisha bado.
Naweza nikakaa na nisiangalie Wala kusikiliza chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sifuti hadi ameiona.
SHIMBA YA BUYENZE hebu wahi.


Ngoja aje...

Nimwagieni tu tindikali


400011800456_403180.jpg
 
Back
Top Bottom