Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,347
- 17,671
Nilikuwa nasikia pilau la Miriam biryan,leo nimefunga safari Tabata kulitest kwa special oda.
Nilikuwa nasikia pilau la Miriam biryan,leo nimefunga safari Tabata kulitest kwa special oda.View attachment 1526963
Tulimuomba picha akachukua yangu juu huko akaipost tena...
Tukamuuliza kulikoni? Akatuwekea Matunda..
Mtu wa namna hii ni wa kumsamehe kweli jamani?



kwa kweli msimsamehe hadi na yeye aweke picha zakeUmefurahiii mpaka gego la mwisho. We na huyo rafiki yako suburini tu dawa yenu inachemka



Mkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahauSikutag Wala nini.... Niachee..

Nilikuwa nasikia pilau la Miriam biryan,leo nimefunga safari Tabata kulitest kwa special oda.View attachment 1526963
Nina maneno basi miye? Nimeshagivapu. Yote maisha tu bana. Yaani hao mabinti wawili wanavyonitesa na kuninyanyasa siyo poa hata kidogo. Itabidi tu nihame huu uzi mazima kwa sababu kila nikija ni za uso tu non stop dah !!!Nilikuambia usifute unaona sasa
Nilijua tu lazima shimba atakuja kulalamika
Tatizo SHIMBA YA BUYENZE nawe mchoyo sana wa picha zako acha upitwe tu![]()
Umefurahiii mpaka gego la mwisho. We na huyo rafiki yako suburini tu dawa yenu inachemka![]()






Tulia dawa ikuingie.. Captain picha anaweka... wewe unakazi ya kujaza server ya JF na Matunda..Mkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahau![]()
Kwamba wewe ni sawa na mimi? Wakati mie kula matunda ni mpaka niandikiwe na daktariMkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahau![]()

Aiseeehawamuogopi bali ni special case
Hivi kati yetu na wewe nani anamnyanyasa mwenzie?Nina maneno basi miye? Nimeshagivapu. Yote maisha tu bana. Yaani hao mabinti wawili wanavyonitesa na kuninyanyasa siyo poa hata kidogo. Itabidi tu nihame huu uzi mazima kwa sababu kila nikija ni za uso tu non stop dah !!!
Nifundishe na Mimi kuangalia movie.Duuuuuuh sasa kwangu unajifunza nini?
Naeleweka vibaya aisee!
hata ka kusingizia
Umrudishe Sasa ili tuendelee kuenjoySana aise
Nimemuweka kwenye top 3 ya watu wangu wanaojua kutema kikristo humu JF
We tulia suka ukili.Nifundishe na Mimi kuangalia movie.
Haiwezekani hadi Sasa sijui hayo madudehata ka kusingizia
Sent using Jamii Forums mobile app
@SHIMBA YA BUYENZE kuja jibu hapa...Hivi kati yetu na wewe nani anamnyanyasa mwenzie?
Nilikuwa nasikia pilau la Miriam biryan,leo nimefunga safari Tabata kulitest kwa special oda.View attachment 1526963
