Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa nasikia pilau la Miriam biryan,leo nimefunga safari Tabata kulitest kwa special oda.
IMG-20200731-WA0020.jpg
 
Nilikuambia usifute unaona sasa
Nilijua tu lazima shimba atakuja kulalamika

Tatizo SHIMBA YA BUYENZE nawe mchoyo sana wa picha zako acha upitwe tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nina maneno basi miye? Nimeshagivapu. Yote maisha tu bana. Yaani hao mabinti wawili wanavyonitesa na kuninyanyasa siyo poa hata kidogo. Itabidi tu nihame huu uzi mazima kwa sababu kila nikija ni za uso tu non stop dah !!!
 
Mkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahau [emoji16]
Tulia dawa ikuingie.. Captain picha anaweka... wewe unakazi ya kujaza server ya JF na Matunda..
 
Mkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahau [emoji16]
Kwamba wewe ni sawa na mimi? Wakati mie kula matunda ni mpaka niandikiwe na daktari[emoji134]
 
Back
Top Bottom