Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Disney wao ni wasambazaji tu na si watengenezaji..warner bross wao ni watengenezaji na wasambazaji wa DC.
Baada ya kuanzisha tu marvel studio basi wameanza kupiga hela mno.
Dc inabidi wajiangalie wapi wanakosea.
imagine batman kila muda inafanyiwa reboot..toka mwams 70s huko.
nilijua ben afleck ndio atakua perfect match kwa batman nae wamemtoa. Henry cavil nae sijui kama atakuja dc au ndio imetoka naona wao hawana character development

Kama marvel ni utoto wacha tu niwe mtoto nafurahi mno muvi zao.
Btw wazungu hua hawajali sana pesa kwenye muvi. Huangalia critics zaidi..Luckily marvel kuna full postive critics na pesa kibao wanaingiza.
Mm mpaka leo naangalia sofia the first au teenage mutant ninja turtle

View attachment 1525423View attachment 1525424

Oohh kumbe Disney ni wasambazaji tu hapo sawa, maana nilisikia 2006 waliinunua Marvel baada ya kufilisika kisha ndiyo Kevin Feige akaingia.

Kwa kweli DC inabidi wajiangalie wanakosea wapi, halafu hata The Flash naona imechezwa na actors kadhaa though mie namjua huyo Ezra Miller tu.

Haha mwenyewe kama Marvel ni utoto basi acha niwe mtoto tu, tena mie huwa nafall in love hadi na zile stunts wanazofanya na namna wanavyopigana.

Daah Stan Lee masikini alishajifia mzee wa watu lakini Marvel bado hawajaacha kumpa heshima yake, he is a genius kwa kweli acha akumbukwe tu.
 
Hii niliselfika jana usiku nikasahau kupost.
20200803_074001.jpg


Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
 
Yeah Marvel story zao nzuri sana na napenda namna wanavyounganishaunganisha matukio, yaani utajikuta tu unawapigia salute.

Wengine wanaenda mbali zaidi na kusema eti movies za Marvel ni za kitoto damn yaani Avengers Endgame kwa sasa ndiyo the highest grossing movie worldwide, imesurpass hadi zile za James Cameron halafu mtu anakuambia Marvel wana utoto kwamba kule kwenye cinemas huwa wanajaa watoto tu.

Na ukiangalia top 10 ya the highest grossing movies in the world 4 au 5 ni za Marvel now where the hell is DC? Justice League eti box office inacheza kwenye dola milioni 600 na kitu wakati huku Avengers moja tu tunaongelea dola bilioni 1 hadi 2 na ushenzi!

By the way I thought Marvel kwa sasa wako chini ya Disney, while DC wako chini ya Warner Bros.
Msitufokee bwana we!!!
 
Back
Top Bottom