Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We back at it. It’s a lifestyle

DFCCF3FA-B96F-42E8-A39D-1DCB34B7DE9A.jpeg
 
Hilo sahau kabisa marvel na dc kutengeneza muvi moja.
Dc ni ulimwengu tofauti na marvel ni ulimwengu tofauti. Lakini hata hivyo marvel tuna character wengiiiiiii mno wazuri sana hatumuhitaji Ghost rider abaki huko huko hata Zile muvi za Wisley snipes za vimpire zinatoka marvel. Ila hatumtaki.

DC na marvel hawawezi tengeneza movie moja ni sawa Mondi na kiba kufanya Kolabo. Dc mimi naona hua hawako serious sana kama marvel hata hivyo DC movies imshukuru sana Zack snyder kajitahidi kuweka kwenye reli.

Nilisahau kitu..
Ryan Reynolds alicgeza X Men, akacheza as Deadpool marvel kacheza pia kama Greena Lantern DC

Bora na wewe umenisaidia mie nawashangaa watu wanaosema eti Marvel waongo halafu hawasemi lolote kuhusu DC. Inawezekana kweli Marvel wakawa waongo ila nina uhakika kwa vyovyote vile hawajawafikia DC kwa uongo.

Yaani characters wa DC bhana watu wanapigana wanaporomosha majengo wanaharibu barabara ila wanatoka hawana mkwaruzo hata mmoja wala tone la damu. Hata kama ndiyo wana nguvu siyo kiasi hicho yaani DC bado kidogo kwa Marvel.

Duuh hivi kumbe Green Lantern ni Ryan Reynolds? Mie nilikuwa namjua huku kwenye Deadpool tu!

Halafu unajua waliwahi kufunga ndoa na Scarlett Johansson? Deadpool and Black Widow wow!
 
Back
Top Bottom