Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20190506_141104.jpg

Hii picha sitaki aione cocastic Akiamka mnishtue niifute!
 
Yes ila walisha divorce wakazaa mtoto mmoja.
Ndio maana mm napenda muvi za cap kiasi fulani zina uhalisia..ila ukiangalia man of steel super man anapigwa na chuma cha reli hatoki hata nundu

Marvel wapo vizuri sana stori zao na muvi ziko poa mno
Mshindani wa sasa pekee wa marvel ulimwenguni ni Disney tu.
Ryan Reynolds ni hendisamu pia mbona hamcrush kwake.?
sema hua natamani sana ningekua kama captain america au jon snow(sio chriss evans

Yeah Marvel story zao nzuri sana na napenda namna wanavyounganishaunganisha matukio, yaani utajikuta tu unawapigia salute.

Wengine wanaenda mbali zaidi na kusema eti movies za Marvel ni za kitoto damn yaani Avengers Endgame kwa sasa ndiyo the highest grossing movie worldwide, imesurpass hadi zile za James Cameron halafu mtu anakuambia Marvel wana utoto kwamba kule kwenye cinemas huwa wanajaa watoto tu.

Na ukiangalia top 10 ya the highest grossing movies in the world 4 au 5 ni za Marvel now where the hell is DC? Justice League eti box office inacheza kwenye dola milioni 600 na kitu wakati huku Avengers moja tu tunaongelea dola bilioni 1 hadi 2 na ushenzi!

By the way I thought Marvel kwa sasa wako chini ya Disney, while DC wako chini ya Warner Bros.
 
Back
Top Bottom