Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,107
Mi najua vibibi.


Sivijui Ndio vipoje, vinafananaje hivyo mkuu? Hahahaha
Weka hapa tuangalie wote mkuu.
Hutaki warembo wengine waone uumbaji wa muumba
Ukija pm hakikisha unanitumia full kabla ya maelezo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
niweke apa waje wakomenti “ama kweli sura si roho” 

Koh koh MMnh hivi id yako ya zamani ni ipi mkuu ??
Limao tamu ukiwekea na chumvi weweYan unapata utamu ukila limao!??
Ushakuwa addicted..kama ulivyosema jizuie kwa mwezi huku ukiendelea na ratiba zako za misosi kama kawaida,imani yangu utarudisha weight
The only thing to fear is fear itself
Limao tamu ukiwekea na chumvi wewe
Nitapambana kujizuia na arosto![]()
Weka tu mkuuniweke apa waje wakomenti “ama kweli sura si roho”
Sent from my iPhone using JamiiForums
Limao tamu ukiwekea na chumvi wewe
Nitapambana kujizuia na arosto![]()




Hujaelewa au unataka mjadala uwe mrefu 😀Limao unaweka tena na chumvi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa sababu Mimi ndiye nimeomba pichaHuko pm napo si lediz first unaanza wewe kutangulia alafu mimi nafuata nyuma kukulinda.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yan me nimefikia stage ya kupata na arosto nikimaliza week bila kula.
Mimi napenda pia limao ila nile nisile ni sawa tu
Ila kuna kitu nilishakuwa addicted nacho,nikikitaja hapa utanishangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli wewe mzembe.

Kwani umezijulia wapi?Duuh Sijui chochote, ndio utueleze Kuna Za nini na nini na zinapikwaje, In summary
.
.
.
.
.
#Mwenyekiti
#ChamaChaWalimaPamba,Meatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi natia aibuYan me nimefikia stage ya kupata na arosto nikimaliza week bila kula.
Kitaje tu, zamani ilikuwa mchele kutafuna nikapambana kupunguza ila bado sijaweza kuacha kabisa





