Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sifanyi mazoezi hata kidogo

Chakula hasa ni chips, wali samaki/ nyama kuku , ndizi machalali kina Manka wanaita na pia ndizi za kukaanga. + bites hizo kila muda najitafuna.

Wanga nakula, hizo limao aisee ndiyo sielewi.
Soda pia sio haba, mwisho jana nimekula vizuri kabisa pilau kuku + mirinda nyeusi ila nilivyomaliza nikala na kipande cha limao na hapo wakati napika mboga nilikuwa nishakula kingine.

Nitajitahidi, kula bila mpangilio ndiyo kupoje?
Kwa ulaji huo naona tatizo ni hizo limao zako,hakuna namna ya kuziacha!??!

Hvyo unavyokula tayari ni bila mpangilio kiasi kwamba ulipaswa unenepe!!

Limao zinapunguza mwili na wewe unakula kama chungwa hapa ndipo tatizo lilipo.

The only thing to fear is fear itself
 
Kwa ulaji huo naona tatizo ni hizo limao zako,hakuna namna ya kuziacha!??!

Hvyo unavyokula tayari ni bila mpangilio kiasi kwamba ulipaswa unenepe!!

Limao zinapunguza mwili na wewe unakula kama chungwa hapa ndipo tatizo lilipo.

The only thing to fear is fear itself
Namna ya kuziacha labda nistop kununua. Ila naweza kustop lakini siku nikiziona tu sokoni basi mate yanajaa mdomoni, koo linaanza kuwasha, akili inakumbuka ule utamu naupata nikila 😂 basi nakuja kushtuka nishanunua, nishafika home nipo nakula

Ila ahsante, itabidi nijizuie sana. Naamini ntawezana
 
Ninaomboleza
20200520_133618.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom