Naweka baki online
Naweka baki online
Mhh sidhani, labda kuna kingine tu bado sijakinoticeUpo vizuri... itakua unawaza corona ndio kunakupunguzia uzito
Cha Arusha kimebamba eeh?
Ungekua wakiume ningesema labda una *** sanaMhh sidhani, labda kuna kingine tu bado sijakinotice
Aisee 😀😀😀Ungekua wakiume ningesema labda una *** sana
Zangu ni hatari sanaa, zaidi ya pilipili + kipara 🤭![]()

Ako na zile Lips 😋hapo hawajazifaidi maana kaweka B&WHuyu dogo ni mzuri Sana..alishawahi kuweka picha kwenye Uzi wetu wa likes
Ngoja aongeze picha ingine umuone vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀Za kichwani? Aliuliza dada Depal hapo juu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa ulaji huo naona tatizo ni hizo limao zako,hakuna namna ya kuziacha!??!Sifanyi mazoezi hata kidogo
Chakula hasa ni chips, wali samaki/ nyama kuku , ndizi machalali kina Manka wanaita na pia ndizi za kukaanga. + bites hizo kila muda najitafuna.
Wanga nakula, hizo limao aisee ndiyo sielewi.
Soda pia sio haba, mwisho jana nimekula vizuri kabisa pilau kuku + mirinda nyeusi ila nilivyomaliza nikala na kipande cha limao na hapo wakati napika mboga nilikuwa nishakula kingine.
Nitajitahidi, kula bila mpangilio ndiyo kupoje?


Nakumbuka hadi like uliweka,Mhh mbona sijaona
Namna ya kuziacha labda nistop kununua. Ila naweza kustop lakini siku nikiziona tu sokoni basi mate yanajaa mdomoni, koo linaanza kuwasha, akili inakumbuka ule utamu naupata nikila 😂 basi nakuja kushtuka nishanunua, nishafika home nipo nakulaKwa ulaji huo naona tatizo ni hizo limao zako,hakuna namna ya kuziacha!??!
Hvyo unavyokula tayari ni bila mpangilio kiasi kwamba ulipaswa unenepe!!
Limao zinapunguza mwili na wewe unakula kama chungwa hapa ndipo tatizo lilipo.
The only thing to fear is fear itself
Basi sikuzingatiaNakumbuka hadi like uliweka,
Anyway nitatuma tena
The only thing to fear is fear itself
Kababu za aina gani? Za kunde, za nyama au mayai?Nje ya Mada kidogo
Nani anaweza kupika vikababu?
Nielekezwe
.
.
.
.
.
.
#Mwenyekiti
#ChamaChaWalimaPamba,Meatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dogo Ni HB SanaAko na zile Lipshapo hawajazifaidi maana kaweka B&W

Duuh Sijui chochote, ndio utueleze Kuna Za nini na nini na zinapikwaje, In summaryKababu za aina gani? Za kunde, za nyama au mayai?