Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Uko HB Sana mkuu




Kweli?
Yan unapata utamu ukila limao!??Namna ya kuziacha labda nistop kununua. Ila naweza kustop lakini siku nikiziona tu sokoni basi mate yanajaa mdomoni, koo linaanza kuwasha, akili inakumbuka ule utamu naupata nikilabasi nakuja kushtuka nishanunua, nishafika home nipo nakula
Ila ahsante, itabidi nijizuie sana. Naamini ntawezana
..kama ulivyosema jizuie kwa mwezi huku ukiendelea na ratiba zako za misosi kama kawaida,imani yangu utarudisha weightUnandanganya embu weka picha nione kama kwel
Mimi nifundishe mbinu rahisi ya kupungua mwiliYan unapata utamu ukila limao!??
Ushakuwa addicted..kama ulivyosema jizuie kwa mwezi huku ukiendelea na ratiba zako za misosi kama kawaida,imani yangu utarudisha weight
The only thing to fear is fear itself
Asante sana. Tuombe uzima kesho nitaweka.Uko HB Sana mkuu
Fanya uongeze na picha ya body tuone uumbaji wa muumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Tena nasinziaUnandanganya embu weka picha nione kama kwel
Usiku mwema basi
Mkuu linalowezekana Leo lisingoje kesho...Asante sana. Tuombe uzima kesho nitaweka.
Hata wewe una nywele nzuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka unywele wako huwenda ukanishawishi kuweka nyingine mpendwa.Mkuu linalowezekana Leo lisingoje kesho...
Mimi mkuu Nina kipilipili og kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo za kichwani bana, tena cha juu😀😀Za kichwani? Aliuliza dada Depal hapo juu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi najua vibibi.Nje ya Mada kidogo
Nani anaweza kupika vikababu?
Nielekezwe
.
.
.
.
.
.
#Mwenyekiti
#ChamaChaWalimaPamba,Meatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka kupungua au kuongeza sijakuelewaMimi nifundishe mbinu rahisi ya kupungua mwili
Kuna wapendwa wangu wanataabika kushinda njaa.
Nifundishe pia mbinu rahisi ya kuongeza mwili..usiambie Nile bila mpangilio,siwezi kula Sana kupita kiasi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuongezaSasa unataka kupungua au kuongeza sijakuelewa
The only thing to fear is fear itself
Khaa