Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hufanyi mazoezi!??

Umesema ni food monga wa chakula gani hasa!??

Kwa kuanzia kama hufanyi mazoezi na unakula nyama na wanga kama kawaida tatizo litakuwa hilo la kula Limao kama chungwa..

Kilo 7 kwa mwezi si kilo chache kupoteza ikiwa si mtu wa mazoezi,

Kunenepa ni jambo rahisi mno kufanya kula red meat za kutosha na wanga bila mpangilio bila kusahau soda katika mlo wako

The only thing to fear is fear itself
Sifanyi mazoezi hata kidogo

Chakula hasa ni chips, wali samaki/ nyama kuku , ndizi machalali kina Manka wanaita na pia ndizi za kukaanga. + bites hizo kila muda najitafuna.

Wanga nakula, hizo limao aisee ndiyo sielewi.
Soda pia sio haba, mwisho jana nimekula vizuri kabisa pilau kuku + mirinda nyeusi ila nilivyomaliza nikala na kipande cha limao na hapo wakati napika mboga nilikuwa nishakula kingine.

Nitajitahidi, kula bila mpangilio ndiyo kupoje?
 
Sifanyi mazoezi hata kidogo

Chakula hasa ni chips, wali samaki/ nyama kuku , ndizi machalali kina Manka wanaita na pia ndizi za kukaanga. + bites hizo kila muda najitafuna.

Wanga nakula, hizo limao aisee ndiyo sielewi.
Soda pia sio haba, mwisho jana nimekula vizuri kabisa pilau kuku + mirinda nyeusi ila nilivyomaliza nikala na kipande cha limao na hapo wakati napika mboga nilikuwa nishakula kingine.

Nitajitahidi, kula bila mpangilio ndiyo kupoje?
Upo vizuri... itakua unawaza corona ndio kunakupunguzia uzito
 
Back
Top Bottom