Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

How can I gain weight?

Nimelose karibu kilo 7 kwa April na hii may, last time kupima ilikuwa march na ilibaki kidogo nivuke 60KG, na sina stress nzito nzito na kuhusu kula uwa nakula mpaka baby ananitania food monga 😝
Leo nimepima uzito mpaka nikataka kuukimbia kuwa sio wangu.

Nakula mno limao, yan nakula kama vile nakula chungwa kumbe ni limao. Je inaweza kuwa source ya kunipunguza uzito wangu?

Mnijibu, nimeamua kuandika hapa maana sina muda wa kuanzisha Uzi .

Numbisa carbamazepine 😉😉
 
Back
Top Bottom