Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi zipo hapo juu.Hiyo hapo juu.. na ww weka kile kiuno
Ongeza ingine Basi,hiyo haionekani vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi zipo hapo juu.Hiyo hapo juu.. na ww weka kile kiuno



i remember this sceneUjue nimefikia tu kwenye quote YakeWe naye picha iko juu ya comment yako hapo hujaiona ?? Ujue unaanza kunizidi kwa uzembe soon tutaanza kuwa hatuchekani !!










Huyu dogo ni mzuri Sana..alishawahi kuweka picha kwenye Uzi wetu wa likesJamani kuna wakaka wazuri kuliko hata wadada. Yaani hadi aibu naona mimi.

Zangu ni hatari sanaa, zaidi ya pilipili + kipara 🤭 😀😀Hebu na wewe zile zako tunaita nywele za kipilipili
Nimeshaionani shombeshombe fulani hivi






AiseeHuo uchebe na hizo tender lips nina matumizi nazo, pic saved
Haki vile siioni. Naomba nitumie aisee.Simu yako ya mchina![]()
Embu tukuone wewe mdadaJamani kuna wakaka wazuri kuliko hata wadada. Yaani hadi aibu naona mimi.
Tuanze na ya Zoë halafu ifuate ya Saint Anne..Unataka ya nani?
Yaani nayo nikikuwa sijaionaduuh hiyo picha mie mbona naona weusi tu ??




Na ya yule Ally kumbe hata hakufuta bado ipo hadi saa hii nenda kaangalie
AiseeeHuyu dogo ni mzuri Sana..alishawahi kuweka picha kwenye Uzi wetu wa likes
Ngoja aongeze picha ingine umuone vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nioneshe mfano
Hivi yako bado tu hutaki kuweka?Tuanze na ya Zoë halafu ifuate ya Saint Anne..
Ya kwako pia inahitajika pia
The only thing to fear is fear itself



si ndiyo nilitaka nishangae upitwe hivi hiviNimeshaionaNa ya yule Ally kumbe hata hakufuta bado ipo hadi saa hii nenda kaangalie




