Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Bado. Ila yeye si huyo hapo kwa avatar.
Bado. Ila yeye si huyo hapo kwa avatar.
Nilianza na corona ilipokuja Tz 😂
😂😂😂Mimi niliahirisha kuongeza mwili baada ya kuona dada zangu wanatamani wakonde ikiwezekana wawe Kama Mimi..naona jinsi wanavyohangaika kupunguza miili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda sana niwe mwembamba tena kuanzia juu hadi chiniUkiwa moja utavaa nini? Mambo ya kuwa kama umetundikwa mie akuu![]()
Na mambo ya kuwa kama kifurushi pia sitakii
Yaani naona jinsi wanavyohangaika...wanahangaika wee..wengine wamekaa na njia hadi wamepata vidonda vya tumbo.aki we akili zako, usinenepe mwaya.



Mbona nimeweka sana halafu ulikuwepoHebu tuanze na yako kwanza
Nimeweka hukuwepo
Natumia simu zile za promotionUnatumia tecno sio? Huwezi kuona








Sitaki hiyo ya Avatar.Bado. Ila yeye si huyo hapo kwa avatar.
Karma muongo weweYaani hata hiyo picha ya kuweka huo mguu au mkono sina. Na camera yangu mbovu toto.
Kuna kama mbili nazikumbuka hadi leo..
😀😀😀Hahaha unataka mzee wa rojo aanze kuninanga "Daemusin lakini usimtag
Una nywele nzurii, tunaita nywele za singa singa

Nangoja yako
Unavaa dera tuUkiwa moja utavaa nini? Mambo ya kuwa kama umetundikwa mie akuu![]()
Na mambo ya kuwa kama kifurushi pia sitakii




Aisee uko vizuriiWanasema nimerith kwa Bibi yangu Kutoka Ethiopia
Sent from my iPhone using JamiiForums