Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

aki we akili zako, usinenepe mwaya.
Yaani naona jinsi wanavyohangaika...wanahangaika wee..wengine wamekaa na njia hadi wamepata vidonda vya tumbo.
Kuna mmoja anacheza 80's,,dokta anamwambia inabidi upungue maana alishaanza kupata presha.

Nikifikiria hizo tabu,nikijiona kamwili kangu naishia kumshukuru Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom