Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Housing development under construction.

Plenty of wood.

EEE5EBDD-D09C-4D4A-A1BD-EAB5F9F39320.jpeg
 
Tusinyimane, jamani mdogo wangu kipenzi nimeona hapo..TUSINYIMANE!

Mimi napenda vitu vizuri, mnaihuisha nafsi yangu mkiweka vitu vizuri, picha zenu tam tam zinaifanya siku yangu iwe bora kabisa. Halafu mnasaidia umma kuelewa kuwa this side kuna vitu vizuri, wadada warembo kabisa na wa ta m...haha!

Haya tuendelee
Jamani kaka yangu kipenzi
 
C'est la vie,, mon ami..

Kuna mtu atakuja sema najikuta mjuaji sababu nimeandika kifaransa,, utasikia "kifaransa chenyewe cha kugoogle tu" lol..
Aisee!!

Unajua mtu unaweza ukapost kitu ambacho wewe unakiona ni cha kawaida kabisa. Mfano sandwich ya subway [hata kama hujaila] au hata taa tu za kuongozea magari barabarani.

Lakini kumbe kuna wengine wanaona hivyo vitu ni ‘vikubwa’ sana na vya ‘kujimwambafy’.

Sijui kwa nini iko hivyo.

Mtu unapost picha ya kiatu. Hujasema ni chako au la. Lakini wenzio wanajijengea taswira potofu akilini mwao kuwa hicho kiatu ni chako.

Wanaanza kukuona unajimwambafy. Wanajawa unyonge wa bure [WANAJINYONGEFY].

Kumbe wala. Wewe umejiwekea tu picha.

Watu huwa wanajipa mawazo na sonona zisizo na msingi kabisa.
 
Back
Top Bottom