Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ndio shem...Utakuwepo Shemeji
Kwamba?!



mmhh Depal umempendelea sana aisee
Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.
1. Sakayo
View attachment 1355704
2. Depal
View attachment 1355706
3. Mshana Jr
View attachment 1355708
4.Roger
View attachment 1355709
Endeeeni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zimeanza hivyo wifi kaanza mapema alikuwa anajibu mapigo baada ya kumpa hiiZawadi za valentine zimeanza
Nimependelewa au nimeonewa? 😂😂😂 kanipendela wigi na rangi, kaninyima dimpoz
Ni utani mkuu tuwekee picha.
Ni matatizo yao binafsi 😀Kwamba kwanini watu walalamike kuwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ??
Nimeona watu wanalalamika kwenye nyuzi nyingine huko kuwa eti huu uzi siku hizi umekuwa wa kujimwambafy eti ndiyo maana wameondoka sasa kwanini yaani ??
Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.
1. Sakayo
View attachment 1355704
2. Depal
View attachment 1355706
3. Mshana Jr
View attachment 1355708
4.Roger
View attachment 1355709
Endeeeni 🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
😀😀😀Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.
1. Sakayo
View attachment 1355704
2. Depal
View attachment 1355706
3. Mshana Jr
View attachment 1355708
4.Roger
View attachment 1355709
Endeeeni 🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zimeanza hivyo wifi kaanza mapema alikuwa anajibu mapigo baada ya kumla hiiView attachment 1355732
God save us







Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.
1. Sakayo
View attachment 1355704
2. Depal
View attachment 1355706
3. Mshana Jr
View attachment 1355708
4.Roger
View attachment 1355709
Endeeeni
Sent from my iPhone using JamiiForums




Kwamba kwanini watu walalamike kuwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ??
Nimeona watu wanalalamika kwenye nyuzi nyingine huko kuwa eti huu uzi siku hizi umekuwa wa kujimwambafy eti ndiyo maana wameondoka sasa kwanini yaani ??

Zimeanza hivyo wifi kaanza mapema alikuwa anajibu mapigo baada ya kumla hiiView attachment 1355732
God save us

Nadhani iundwe kamati ya uchunguzi kwanini mwanzo haukulalamikiwa?😀😀Ni matatizo yao binafsi 😀
Mtu anapost kile anachojisikia kushare nasi mtu mwingine huko anaanza kupata sononeko, me nimeshindwa kuwaelewa.