Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.

1. Sakayo

IMG_5943.JPG



2. Depal

IMG_5944.JPG



3. Mshana Jr

IMG_5945.JPG



4.Roger

IMG_5946.JPG



Endeeeni 🤣







Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwamba kwanini watu walalamike kuwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ??

Nimeona watu wanalalamika kwenye nyuzi nyingine huko kuwa eti huu uzi siku hizi umekuwa wa kujimwambafy eti ndiyo maana wameondoka sasa kwanini yaani ??
Ni matatizo yao binafsi 😀
Mtu anapost kile anachojisikia kushare nasi mtu mwingine huko anaanza kupata sononeko, me nimeshindwa kuwaelewa.
 
Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.

1. Sakayo

View attachment 1355704


2. Depal

View attachment 1355706


3. Mshana Jr

View attachment 1355708


4.Roger

View attachment 1355709


Endeeeni 🤣







Sent from my iPhone using JamiiForums

Lol purple suit, mkuu? Ni nani huyo btw?
 
Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.

1. Sakayo

View attachment 1355704


2. Depal

View attachment 1355706


3. Mshana Jr

View attachment 1355708


4.Roger

View attachment 1355709


Endeeeni 🤣







Sent from my iPhone using JamiiForums
😀😀😀
Khaa jamani!! Karma sijapendelewa sana, she's natural beauty, I'm too kwan me ushawai niona nimepaka madude usoni 😀
 
Kwamba kwanini watu walalamike kuwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ??

Nimeona watu wanalalamika kwenye nyuzi nyingine huko kuwa eti huu uzi siku hizi umekuwa wa kujimwambafy eti ndiyo maana wameondoka sasa kwanini yaani ??

Jr
 
Back
Top Bottom