Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Acheni kulalamika mazee!
Kama vipi tupeane doo sisi tunaotembea kwa miguu tupate walao kaverosa ka kwenda church jumapili!!
Maisha ni haya haya tuu jamani! Mimi huwa natuma hadi mahindi ya kuchemsha na life linaenda mazee!
Tulianza kwa upendo, tuishi kwa upendo! TUSINYIMANE, ukiona mepiga picha na tecno yangu haionekani poa basi fanya kunipostiaa kasamsung jamani! Hatuwezi kufanana wootee!!
Sakayo
Kama vipi tupeane doo sisi tunaotembea kwa miguu tupate walao kaverosa ka kwenda church jumapili!!
Maisha ni haya haya tuu jamani! Mimi huwa natuma hadi mahindi ya kuchemsha na life linaenda mazee!
Tulianza kwa upendo, tuishi kwa upendo! TUSINYIMANE, ukiona mepiga picha na tecno yangu haionekani poa basi fanya kunipostiaa kasamsung jamani! Hatuwezi kufanana wootee!!
Sakayo










