Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karma

IMG_5961.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aisee!!

Unajua mtu unaweza ukapost kitu ambacho wewe unakiona ni cha kawaida kabisa. Mfano sandwich ya subway [hata kama hujaila] au hata taa tu za kuongozea magari barabarani.

Lakini kumbe kuna wengine wanaona hivyo vitu ni ‘vikubwa’ sana na vya ‘kujimwambafy’.

Sijui kwa nini iko hivyo.

Mtu unapost picha ya kiatu. Hujasema ni chako au la. Lakini wenzio wanajijengea taswira potofu akilini mwao kuwa hicho kiatu ni chako.

Wanaanza kukuona unajimwambafy. Wanajawa unyonge wa bure [WANAJINYONGEFY].

Kumbe wala. Wewe umejiwekea tu picha.

Watu huwa wanajipa mawazo na sonona zisizo na msingi kabisa.
WANAJINYONGEFY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ndiyo maana kuna watu wanamchukia mtu kama Kiduku Lilo yaani yule jamaa mimi nyuzi zake nilikuwa naenjoy sana yaani vile alivyokuwa anataja tu yale magari na simu anazotumia mie alikuwa ananikosha,, haijalishi kama ni ukweli au uongo mimi hilo halinihusu mimi nilikuwa nafurahi tu maana ni afadhali hata ya yeye kuliko watu kama kina Zero IQ ambao wao muda wote wanawaza kugegedana tu na kutwa wanaanzisha nyuzi kama hizo..

Halafu hao wanaosema huu uzi ni wa kujimwambafy asilimia kubwa ndiyo hao wanaoshinda kule kwenye uzi wa kula tunda kimasihara,, wao story za kipumbavu kama zile (ambazo nyingi ni za kutunga) ndiyo huwa zinawakosha ila mtu akipost vitu kama majengo au vyakula vizuri wanakasirika..
Mwanzoni selfie zilikuwa selfie kweli, wengine tukajisahau na madawa ya Mshana Jr tukajipost bila hata emoj waliona wakaona...

watu wengine ni anonymous forever hawataki hata aina ya vidole vyao vifahamike hapa JF.
Mwingine katupia zake kiatu kikali kasema Nyani Ngabu unakuwa huwezi kujua kama ni chake au cha google kisa tu amekipost member fulani hapa raia wanaona yule kama anaSHOW OFF kisa kapost kitu kikali / cha gharama.

Me naona mitazamo ya watu ndio iko hoves mtu anapata kiungulia cha nafsi kisa kuna member kapost gari ya mzungu akijicheck yeye hata ya mchina hana au ipo garage huu mwez wa 7 ni lazima ahisi yule member anajimwambafy kumbe walaa mtazamo wake ndio umempeleka pabaya.

Ni hayo tu, Don't hate, get inspired
 
Acha tuseme tu watu wajifunze my dear,, mie nilisikitika nauliza watu kwanini wametukimbia huku kwenye selfie najibiwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ilibidi niweke kwanza simu pembeni ili nishangae vizuri..

Kwa kweli inashangaza sana na haiingii akilini
Guys, comment ya mtu mmoja ndio mnaijadili tangu jana kweli? Is he worth it? Really?View attachment 1356049
 
Acha tuseme tu watu wajifunze my dear,, mie nilisikitika nauliza watu kwanini wametukimbia huku kwenye selfie najibiwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ilibidi niweke kwanza simu pembeni ili nishangae vizuri..

Kwa kweli inashangaza sana na haiingii akilini
Aisee hii mada haijaisha tu Wapendwa matani yanachukuliwa serious 😀😀
 
Back
Top Bottom