Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee!!

Unajua mtu unaweza ukapost kitu ambacho wewe unakiona ni cha kawaida kabisa. Mfano sandwich ya subway [hata kama hujaila] au hata taa tu za kuongozea magari barabarani.

Lakini kumbe kuna wengine wanaona hivyo vitu ni ‘vikubwa’ sana na vya ‘kujimwambafy’.

Sijui kwa nini iko hivyo.

Mtu unapost picha ya kiatu. Hujasema ni chako au la. Lakini wenzio wanajijengea taswira potofu akilini mwao kuwa hicho kiatu ni chako.

Wanaanza kukuona unajimwambafy. Wanajawa unyonge wa bure [WANAJINYONGEFY].

Kumbe wala. Wewe umejiwekea tu picha.

Watu huwa wanajipa mawazo na sonona zisizo na msingi kabisa.
WANAJINYONGEFY HAHAHAAHA.
 
Acheni kulalamika mazee!
Kama vipi tupeane doo sisi tuotembea kwa miguu tupate walao kaverosa ka kwenda church jumapili!!

Maisha ni haya haya tuu jamani! Mimi huwa natuma hadi mahindi ya kuchemsha na life linaenda mazee!

Tulianza kwa upendo, tuishi kwa upendo! TUSINYIMANE, ukiona mepiga picha na tecno yangu haionekani poa basi fanya kunipostiaa kasamsung jamani! Hatuwezi kufanana wootee!!


Sakayo
TUOTEMBEA si nikalisoma vibaya nikasema moyoni huyu Dada mahutu kaanza lini.
 
As good as it gets.

moviequotesandmore_20200213_135522_0.jpg
 
Acheni kulalamika mazee!
Kama vipi tupeane doo sisi tunaotembea kwa miguu tupate walao kaverosa ka kwenda church jumapili!!

Maisha ni haya haya tuu jamani! Mimi huwa natuma hadi mahindi ya kuchemsha na life linaenda mazee!

Tulianza kwa upendo, tuishi kwa upendo! TUSINYIMANE, ukiona mepiga picha na tecno yangu haionekani poa basi fanya kunipostiaa kasamsung jamani! Hatuwezi kufanana wootee!!


Sakayo
Tusinyimane, jamani mdogo wangu kipenzi nimeona hapo..TUSINYIMANE!

Mimi napenda vitu vizuri, mnaihuisha nafsi yangu mkiweka vitu vizuri, picha zenu tam tam zinaifanya siku yangu iwe bora kabisa. Halafu mnasaidia umma kuelewa kuwa this side kuna vitu vizuri, wadada warembo kabisa na wa ta m...haha!

Haya tuendelee
 
Back
Top Bottom