Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
1200px-Whisky_bottles_2005.jpeg


Jr
 
Ni matatizo yao binafsi 😀
Mtu anapost kile anachojisikia kushare nasi mtu mwingine huko anaanza kupata sononeko, me nimeshindwa kuwaelewa.

Aisee!!

Unajua mtu unaweza ukapost kitu ambacho wewe unakiona ni cha kawaida kabisa. Mfano sandwich ya subway [hata kama hujaila] au hata taa tu za kuongozea magari barabarani.

Lakini kumbe kuna wengine wanaona hivyo vitu ni ‘vikubwa’ sana na vya ‘kujimwambafy’.

Sijui kwa nini iko hivyo.

Mtu unapost picha ya kiatu. Hujasema ni chako au la. Lakini wenzio wanajijengea taswira potofu akilini mwao kuwa hicho kiatu ni chako.

Wanaanza kukuona unajimwambafy. Wanajawa unyonge wa bure [WANAJINYONGEFY].

Kumbe wala. Wewe umejiwekea tu picha.

Watu huwa wanajipa mawazo na sonona zisizo na msingi kabisa.
 
Hahahaha, ndio maana siku hz napost na kuandika wanavyotaka ,RAIA 'wanyonge' Wa Tanzania

Hahaha.

Yaani hata nikikatiza sehemu nikaona watu wanakunywa bia, nami nikazipiga picha hizo bia.

Nikaja nikazirusha kwenye huu uzi.

Wapo wataonyong’onyea na kuniona najimwambafy 🤣.

Kaazi kweli kweli!

Oh well, such is life.
 
Aisee!!

Unajua mtu unaweza ukapost kitu ambacho wewe unakiona ni cha kawaida kabisa. Mfano sandwich ya subway [hata kama hujaila] au hata taa tu za kuongozea magara barabarani.

Lakini kumbe kuna wengine wanaona hivyo vitu ni ‘vikubwa’ sana na vya ‘kujimwambafy’.

Sijui kwa nini iko hivyo.

Mtu unapost picha ya kiatu. Hujasema ni chako au la. Lakini wenzio wanajijengea taswira potofu akilini mwao kuwa hicho kiatu ni chako.

Wanaanza kukuona unajimwambafy. Wanajawa unyonge wa bure!

Kumbe wala. Wewe umejiwekea tu picha.

Watu huwa wanajipa mawazo na sonona zisizo na msingi kabisa.

Duh, Mi ntapost chochote kikikaa mbele ya camera ya simu 🤣, Vitu vingine mi vinanifumbua macho sana . Hata Mtu akipost menu , Tayari nishajua msosi bei gani pale , ina msaada kwangu 🤣. Masela Mposti kila kitu . Tena sasa hivi watoto wameenda shule!

IMG_5411.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duh, Mi ntapost chochote kikikaa mbele ya camera ya simu 🤣, Vitu vingine mi vinanifumbua macho sana . Hata Mtu akipost menu , Tayari nishajua msosi bei gani pale , ina msaada kwangu 🤣. Masela Mposti kila kitu . Tena sasa hivi watoto wameenda shule!

View attachment 1355927


Sent from my iPhone using JamiiForums

Dealership ya Maserati!

Does it mean I own the dealership? Does it mean I own a Maserati? Even the poor man’s Maserati [Ghibli]?

It ain’t that serious. No one should lose sleep over it.

39E1619B-B654-4325-A071-15F3CFCC56CB.jpeg
 
Tuchangamshe uzi kidogo, Post picha ya impression ya member wa selfika! Wengi hatujaona sura za members wengi ila Nina uhakika kuna sura unaijena akilini au unamfananisha na character flani hata wa kwenye movie au kitabu au mtu flani. Tuanze.

1. Sakayo

View attachment 1355704


2. Depal

View attachment 1355706


3. Mshana Jr

View attachment 1355708


4.Roger

View attachment 1355709


Endeeeni







Sent from my iPhone using JamiiForums

Hapo kwangu unepatiiiaaa!!
Wewe utakuwa Unanijua kabisaa
 
Nadhani iundwe kamati ya uchunguzi kwanini mwanzo haukulalamikiwa?😀😀
Mwanzoni selfie zilikuwa selfie kweli, wengine tukajisahau na madawa ya Mshana Jr tukajipost bila hata emoj waliona wakaona...

watu wengine ni anonymous forever hawataki hata aina ya vidole vyao vifahamike hapa JF.
Mwingine katupia zake kiatu kikali kasema Nyani Ngabu unakuwa huwezi kujua kama ni chake au cha google kisa tu amekipost member fulani hapa raia wanaona yule kama anaSHOW OFF kisa kapost kitu kikali / cha gharama.

Me naona mitazamo ya watu ndio iko hoves 😀😀 mtu anapata kiungulia cha nafsi kisa kuna member kapost gari ya mzungu akijicheck yeye hata ya mchina hana au ipo garage huu mwez wa 7 ni lazima ahisi yule member anajimwambafy kumbe walaa mtazamo wake ndio umempeleka pabaya.

Ni hayo tu, Don't hate, get inspired ❤
 
Back
Top Bottom