Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa
Wanaume tuna kazi sana humu ndani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe na wewe ni mziwanda?? Haki waziwanda hapo pa kupigwa asubuhi na kulia jioni ndipo huwa mnatuchosha
Bora mie last born nilidekezwa na wote[emoji85][emoji85]
Japo mwanzo mama alinipa vichapo vya hapa na pale maana nilikuwa mtundu mimi jamani[emoji134][emoji134][emoji134]

Ila pacha wangu( baba) hakuwahi hata kunifinya. Mkinipiga asubuhi nasubiri jioni akiwa anarudi naanza kulia upyaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20191217_222742.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mengine ni siri za kambi,
Wewe huwezi elewa bwana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafall? Kakudanganya nani wanafall? Wako kazini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaha, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sema mgeni alihisi ndiyo michezo yangu.
Kale kabwana mdoto huwaga nakaangaliaga tu [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nilipigwa ban, then nikapewa id ya kike na dogo mmoja niingie nayo jf. Niloyakuta pm nilicheka nikabaki "hiiiiiiiiii"[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom