Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487



khaa ila ule uzi unasema mwanamke yeyote wa kinyakyusa aliyezaliwa kwenye ardhi ya mbeya
Teh yeh teeeeh!! Mnyakyusa ni mnyakyusa tu hata azaliwe New York.
Sent using Jamii Forums mobile app



khaa ila ule uzi unasema mwanamke yeyote wa kinyakyusa aliyezaliwa kwenye ardhi ya mbeya
Teh yeh teeeeh!! Mnyakyusa ni mnyakyusa tu hata azaliwe New York.
Hahah...kausha wewe!!!



hiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa
Wanaume tuna kazi sana humu ndani.
![]()



kumbe na wewe ni mziwanda?? Haki waziwanda hapo pa kupigwa asubuhi na kulia jioni ndipo huwa mnatuchosha
Bora mie last born nilidekezwa na wote
Japo mwanzo mama alinipa vichapo vya hapa na pale maana nilikuwa mtundu mimi jamani
Ila pacha wangu( baba) hakuwahi hata kunifinya. Mkinipiga asubuhi nasubiri jioni akiwa anarudi naanza kulia upyaaaa.
Mengine ni siri za kambi,hiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa
Sent using Jamii Forums mobile app










eti enh?? siwezi elewa wakati hata mie nimeshakutana na hivyo vituko kule pm??
Mengine ni siri za kambi,
Wewe huwezi elewa bwana.
![]()
eti enh?? siwezi elewa wakati hata mie nimeshakutana na hivyo vituko kule pm??
Sent using Jamii Forums mobile app
Si bora hiyo, akisafiri siku anarudi nalia vilio vyote kama ni vya wiki au mwezi kabisakumbe na wewe ni mziwanda?? Haki waziwanda hapo pa kupigwa asubuhi na kulia jioni ndipo huwa mnatuchosha
Sent using Jamii Forums mobile app




Wanafall? Kakudanganya nani wanafall? Wako kazinihiyo kazi mnajipa wenyewe tu,, unawezaje kufall kwa mtu kisa id au avatar?? Na wakati mnajua kabisa hizi ni fekero tu haki kaka zetu sijui mmerogwa
Sent using Jamii Forums mobile app




Hahaha,
Sema mgeni alihisi ndiyo michezo yangu.
Kale kabwana mdoto huwaga nakaangaliaga tu![]()








khaa ila ule uzi unasema mwanamke yeyote wa kinyakyusa aliyezaliwa kwenye ardhi ya mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app





