Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Nipe moja basi.Hahah...kausha wewe!!!
Nipe moja basi.Hahah...kausha wewe!!!
Wewe tema mate chini, hizo ni baraka sio vituko
Mkuu, huyu ni wewe? Hii sura huenda ukawazidi hata dada zetu daah!!



yaani,, sema sie last born wetu hakutufanyiaga hivyo sana ila nimelea malastborn waliofanya hivyo..
Si bora hiyo, akisafiri siku anarudi nalia vilio vyote kama ni vya wiki au mwezi kabisa![]()

hivi eenh?? aise halafu kweli nimekumbuka
Wanafall? Kakudanganya nani wanafall? Wako kazini![]()





karma kuwa uyaone,, siyo maghorofa wala..
Kuna siku nilipigwa ban, then nikapewa id ya kike na dogo mmoja niingie nayo jf. Niloyakuta pm nilicheka nikabaki "hiiiiiiiiii"![]()



Kwani ukizaliwa Namtumbo DNA inabadilika?
Hahahaha yani kama hadi hizo ni baraka basi heri mniwache nibaki na laana zangu tu
Sent using Jamii Forums mobile app






Mkuu, huyu ni wewe? Hii sura huenda ukawazidi hata dada zetu daah!!
Tabia yenu ya kuonyesha mkila mimi siipendi, mnanipa njaa mapema. Basi fanyeni kuonyesha mkienda kule, "action and reaction are equal but opposite"





Sasa imagine na ka uzaramo kidogoNdiyo,, sisi tuliozaliwa London tuna kauzungu kidogo men.. you know what I'm saying
Sent using Jamii Forums mobile app





Ndio nini wakaka mnakuwa warembo kutuzidiMkuu, huyu ni wewe? Hii sura huenda ukawazidi hata dada zetu daah!!



Tatizo mnachukua genes za uncles wenu, sisi tufanyajeNdio nini wakaka mnakuwa warembo kutuzidi![]()

Na wewe huruhusiwi, kwanini umenikwoti?Huruhusiwi kunikwoti![]()
Nyie mnachukua za mama zenuTatizo mnachukua genes za uncles wenu, sisi tufanyaje![]()


