MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Wanaume tuna kazi sana humu ndani.






Wanaume tuna kazi sana humu ndani.






Bado my kaka, nasubiri tu mualiko wako mimiMarhabaaaa mdogo wangu mzuri.
Habari za Christmas...!!!!
Ushaanza kusherekea ???


Hahaha, nasikia JF wanawake mko 200 tu wengine wote ni manjemba yanajifanya totoz. Humu ndani bwana!!!!
![]()








Bora mie last born nilidekezwa na woteKwetu hakuna cha first born wala last born! Tumechezea kucha balaa!!





Tulia lea, ndio utu uzima huo.
Experience mkuu
Ushahisi unachati na Aisha kumbe unachati na Bakari wa Kimara Baruti. ???







Jamani hii Christmas, nataka nataka nikadeke kwa mama yake Malcom tu.Bado my kaka, nasubiri tu mualiko wako mimi![]()
Wee acha tu,
Yo nuts.





Oooh poor meJamani hii Christmas, nataka nataka nikadeke kwa mama yake Malcom tu.



Bora mie last born nilidekezwa na wote
Japo mwanzo mama alinipa vichapo vya hapa na pale maana nilikuwa mtundu mimi jamani
Ila pacha wangu( baba) hakuwahi hata kunifinya. Mkinipiga asubuhi nasubiri jioni akiwa anarudi naanza kulia upyaaaa.








Nilishawahi kumfungulia mtu account, lakini ghafla kuna kitoto kimoja kesho kikanza kumchombeza PM. Eeh nilichoka sana






Baba
Mwenyewe last born, ila sijawahi kudeka mimi jamani!!
Unamdekea nani eti jamani!
Tulia lea, ndio utu uzima huo.
Nilishawahi kumfungulia mtu account, lakini ghafla kuna kitoto kimoja kesho kikanza kumchombeza PM. Eeh nilichoka sana![]()





















Aiseee!! Wewe umekula bata sana jamani!!
Hahaha,
Hiyo mbona kawaida sana, sijui kuna watu huwa wako stand by kwaajili ya id mpya
Karoho kakakuumaaa![]()















