MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,703
- 71,039
Wanaume tuna kazi sana humu ndani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume tuna kazi sana humu ndani.
Bado my kaka, nasubiri tu mualiko wako mimi[emoji134][emoji134]Marhabaaaa mdogo wangu mzuri.
Habari za Christmas...!!!!
Ushaanza kusherekea ???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Hahaha, nasikia JF wanawake mko 200 tu wengine wote ni manjemba yanajifanya totoz. Humu ndani bwana!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora mie last born nilidekezwa na wote[emoji85][emoji85]Kwetu hakuna cha first born wala last born! Tumechezea kucha balaa!!
Tulia lea, ndio utu uzima huo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Experience mkuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ushahisi unachati na Aisha kumbe unachati na Bakari wa Kimara Baruti. ???
Jamani hii Christmas, nataka nataka nikadeke kwa mama yake Malcom tu.Bado my kaka, nasubiri tu mualiko wako mimi[emoji134][emoji134]
Wee acha tu,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yo nuts.
Oooh poor me[emoji134][emoji134][emoji134]Jamani hii Christmas, nataka nataka nikadeke kwa mama yake Malcom tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora mie last born nilidekezwa na wote[emoji85][emoji85]
Japo mwanzo mama alinipa vichapo vya hapa na pale maana nilikuwa mtundu mimi jamani[emoji134][emoji134][emoji134]
Ila pacha wangu( baba) hakuwahi hata kunifinya. Mkinipiga asubuhi nasubiri jioni akiwa anarudi naanza kulia upyaaaa.
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] labda Heaven Sent ila mie hapana umenionea
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawahi kumfungulia mtu account, lakini ghafla kuna kitoto kimoja kesho kikanza kumchombeza PM. Eeh nilichoka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We hujawahi kufungua ya kike kama Watu8 ?
Baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe last born, ila sijawahi kudeka mimi jamani!!
Unamdekea nani eti jamani!
Tulia lea, ndio utu uzima huo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilishawahi kumfungulia mtu account, lakini ghafla kuna kitoto kimoja kesho kikanza kumchombeza PM. Eeh nilichoka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba
Aiseee!! Wewe umekula bata sana jamani!!
Hahaha, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo mbona kawaida sana, sijui kuna watu huwa wako stand by kwaajili ya id mpya[emoji134][emoji134][emoji134]
Karoho kakakuumaaa[emoji85][emoji85][emoji85]