Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,345
- 17,658
Ameeeeen.Na Mungu akutangulie kwenye mabadiliko yako kaka!
Ameeeeen.Na Mungu akutangulie kwenye mabadiliko yako kaka!



ungeitemea tu huko huko mama huku ulikuja kuwatemea hadi wanaume wasio na hatia kama kina Watu8
Na mimi huwa nasoma tuu nateseka na nyongo, leo nikasema naitemea huku kwa selfie!



sijui tuwalee vipi hawa watoto
Na hiyo ndio shida yao, sijui kwanini wanakimbiliaga matusi mazito mazito
Sijui tunakosea wapi kwenye malezi ya hawa watoto wetu wa kiume walah!!!
... mimi mtu akishaanza kunijibu hoja kwa matusi huwa ananichefua na kunipandisha hasira kabisaaaaa..


Mimi hata sijui mnadiskasi mavitu gani...mkimaliza msisahau picha basi mkiwa mmesmileeeeungeitemea tu huko huko mama huku ulikuja kuwatemea hadi wanaume wasio na hatia kama kina Watu8
Sent using Jamii Forums mobile app



Hahahahahaha
Huyo ndo alikuwa bega kwa bega na wewe!!!
Saivi mshakuwa mabebe
Hahahahahaahungeitemea tu huko huko mama huku ulikuja kuwatemea hadi wanaume wasio na hatia kama kina Watu8
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mdogo wangu mzuri mzuri
Wacha kabisaa my dear
Yaani Extrovert na Lizarazu ndiyo walikuwa my worst enemies pamoja na Relief Mirzska lakini siku hizi eti Extrovert amekuwa my baby,, Lizarazu kapotea leo nilikuwa nimekaa sehemu nakula nikamkumbuka kabisa yaani maana naye kabla hajapotea tulishaanza kupatana na kuwa marafiki.. Relief Mirzska ndiyo kabisa tumekuwa mabest siku hizi tunaongea habari za kusafiri tu
Sent using Jamii Forums mobile app






