Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,271
- 108,268
Tumechoka, hawajui tu madhara ya sisi kuchoka.
Na hivyo wanapenda attention, tukichoka watafurahi.

Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!
Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!
Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!
Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!
Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!
Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Na mimi huwa nasoma tuu nateseka na nyongo, leo nikasema naitemea huku kwa selfie!
Asante







Na hiyo ndio shida yao, sijui kwanini wanakimbiliaga matusi mazito mazitoKuna mtu aliwahi kusema siku wanawake tukiamua kuchoka kujibishana nao kuhusu mambo ya kijinga labda na wao ndiyo watatulia,, kama siyo Noelia basi Hannah hawa nao sijui wamepotelea wapi jamani daah I miss 'em days tulivyokuwa tunaungana kuwachachafya hadi tunawatoa mapovu wanabaki kututukana matusi ya nguoni tu..
Sent using Jamii Forums mobile app



Hahahahahaha

lol unadhani nina umri gani eti??
Kwani una umri gani.?
You're not alone
Unaendeaje wewe mdogo wangu!Kwani una umri gani.?
You're not alone
Eeeehhh
Kuna uzi ilianzishwaga na jamaa anaetongoza wanaume wenzie pm, ndio tukagundua wanaoponda sana wanawake ni kina James, maana wanachafua image yetu ili watimize haja zao.
Kuna uzi nao mods walipita nao kuna mtu ulikuwa unaongelea mambo hayo hayo.
Hivyo Sakayo huyo uloona anaita wanae ndama na mkewe ng'ombe usiumize nao kichwa maana hata jamaa alofunguliwaga uzi ana mke na watoto lakini ni "chakula".
Habari za jumamosi
Jogoo bwana!



kumbe tunahangaika kujibishana na wanawake wenzetu?? Woii halafu katika hayo mabishano siku jaribu kumuambia mmoja wao acha umama au acha mambo ya kike uone hayo matusi utakayoyakoga,, yaani hadi utasahau njia na mimi mtu akishaanza kunijibu hoja kwa matusi huwa ananichefua na kunipandisha hasira kabisaaaaa..
Kuna uzi ilianzishwaga na jamaa anaetongoza wanaume wenzie pm, ndio tukagundua wanaoponda sana wanawake ni kina James, maana wanachafua image yetu ili watimize haja zao.
Kuna uzi nao mods walipita nao kuna mtu ulikuwa unaongelea mambo hayo hayo.
Hivyo Sakayo huyo uloona anaita wanae ndama na mkewe ng'ombe usiumize nao kichwa maana hata jamaa alofunguliwaga uzi ana mke na watoto lakini ni "chakula".