Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante kwa ushauri napenda sana kwenda gym ila kila nikianza nafanya kwa muda naacha kabisa .napenda sana kula ma junk foods lakin pia ni bingwa wa ku maintain weight yangu nina kg 63 kwa miaka 3 kutoka kg 80

Basi utakuwa una fast metabolism. Thank your genetics for that.

Na kwa kweli mazoezi ya mara kwa mara yanahitaji commitment ya hali ya juu.

Pia lazima mtu uwe ni mpenda kufanya mazoezi. Hicho ndo kitachokupa self-motivation.

💪🏿💪🏿
 
nimekumbuka kuna siku uliwahi kusema eti niko mmoja ila utafikiri tuko kumi,, ilikuwa uzi wa Nyenyere tulifikisha comments elfu moja watu watatu mimi Saint anne na huyo Nyenyere tunabishana tu haki na mimi nilikuwa na muda wa kuchezeaaaaa jamani khaa yaani nilikuwa kama kichaa..

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilikuwa nasoma naishia njiani, nikirudi nakukuta umoo, unapovuka balaa!! Hakuna comment inakupita mzee dada!!
 
Napenda sana nizae watoto wa kiume kuliko wa kike lakini nikiwaza kwamba na wao wanaweza kuja kuwa mafurushi daah nachoka moyo na ubongo sijui tuwalee vipi hawa watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Walee katika njia ipasayo tu, maana taabu inaanzia kwetu sisi wazazi. Tunachotaka kukiona sicho tunachokipanda kwa watoto wetu na namna gani tunakipanda.
 
Wow
IMG_20191211_173021_4.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom