Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ukifurahi na mimi iko furaha myNimefurahi tu...penda wewewangu
![]()
...Penda wewe more jamani!
Ukifurahi na mimi iko furaha myNimefurahi tu...penda wewewangu
![]()
...Matusi ndio silaha yao, akishajiona hana hoja anamalizia malezi yake mabovu kwako.
Kwa hiyo mnawateta huku ngoja niwaite mpoteane hapa.Si ndio hapo sasa,, na mie nikaona cha kunifanya niwe naharibu siku kisa mafurushi kitu gani.. ni kuwanyamazia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Kwenye ule uzi mnapita kimya kumbe mna donge rohoni😄😄😄😄
Ahaha hahaha"
Kwa hiyo mnawateta huku ngoja niwaite mpoteane hapa.



Naona kaamua kuja kujifariji na wanamember wa humu sio mbaya




nimekumbuka kuna siku uliwahi kusema eti niko mmoja ila utafikiri tuko kumi,, ilikuwa uzi wa Nyenyere tulifikisha comments elfu moja watu watatu mimi Saint anne na huyo Nyenyere tunabishana tu haki na mimi nilikuwa na muda wa kuchezeaaaaa jamani khaa yaani nilikuwa kama kichaa..
Ulikuwa kiboko ujue!!! Unaandika na ukikomaa na uzi hubandukii!!

Mimi namshukuru tu Mshana kwa huu uzi wake yaani kwa kiasi kikubwa umenifanya niache kujichosha kubishana na mafurushi,, niko zangu huku natoa stress wala hata sitaki kuchangia sana kwenye hizo nyuzi za ndoa maana unaweza tamani ulaani mtoto wa mtu.. halafu yalivyo mabishi sasa hiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri napenda sana kwenda gym ila kila nikianza nafanya kwa muda naacha kabisa .napenda sana kula ma junk foods lakin pia ni bingwa wa ku maintain weight yangu nina kg 63 kwa miaka 3 kutoka kg 80Be careful with those. They’re not very kind to your midsection...
Best to balance it with a trip to the gym a couple times a week.
View attachment 1292568
Watu wabaya waleee jamani!Kwenye ule uzi mnapita kimya kumbe mna donge rohoni![]()
Basi tunaweza kuongea lugha moja ,ungeni ita kwenye huo uzi tungewatoa mapovu sana
Nimeolewa mkuu
Saivi mepumua kwa kweli!!Naona kaamua kuja kujifariji na wanamember wa humu sio mbaya