Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimekumbuka kuna siku uliwahi kusema eti niko mmoja ila utafikiri tuko kumi,, ilikuwa uzi wa Nyenyere tulifikisha comments elfu moja watu watatu mimi Saint anne na huyo Nyenyere tunabishana tu haki na mimi nilikuwa na muda wa kuchezeaaaaa jamani khaa yaani nilikuwa kama kichaa..
Ulikuwa kiboko ujue!!! Unaandika na ukikomaa na uzi hubandukii!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namshukuru tu Mshana kwa huu uzi wake yaani kwa kiasi kikubwa umenifanya niache kujichosha kubishana na mafurushi,, niko zangu huku natoa stress wala hata sitaki kuchangia sana kwenye hizo nyuzi za ndoa maana unaweza tamani ulaani mtoto wa mtu.. halafu yalivyo mabishi sasa hiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Be careful with those. They’re not very kind to your midsection...

Best to balance it with a trip to the gym a couple times a week.

View attachment 1292568
Asante kwa ushauri napenda sana kwenda gym ila kila nikianza nafanya kwa muda naacha kabisa .napenda sana kula ma junk foods lakin pia ni bingwa wa ku maintain weight yangu nina kg 63 kwa miaka 3 kutoka kg 80
 
Back
Top Bottom