Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi namshukuru tu Mshana kwa huu uzi wake yaani kwa kiasi kikubwa umenifanya niache kujichosha kubishana na mafurushi,, niko zangu huku natoa stress wala hata sitaki kuchangia sana kwenye hizo nyuzi za ndoa maana unaweza tamani ulaani mtoto wa mtu.. halafu yalivyo mabishi sasa hiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huwa nazurura kona zote!!
Yaaani unapata kiungulia kikali kabisaa ukisoma!!
 
Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!

Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!

Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!

Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!

Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!

Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Pole,,ndiyo maana Beyonce aliimba "if I was a boy"
Sijui kwann tu mungu aliiumba hiyo jinsia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie mnachekesha kweli yaani eti mkanipa na cheo kabisa,, nimekumbuka cute b aliwahi kuniita msemaji mkuu wa wanawake..

Lol sasa hivi watu wengi wameshaujua umri wangu kwahiyo nikishusha tena yale magazeti najua watakuwa wanajibu tu "utoto ndiyo unakusumbua kuwa kwanza",, ilikuwa raha sana kipindi kile kila mtu anajua mie ni mama mtu mzima nina mume na watoto wanne eti ndiyo walikuwa wananisikiliza hoja zangu.. yaani JF bhana

Sasa mwakilishi wetu umechoka itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole baby wangu wa zamani..

Nitag huo uzi basi..
Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!

Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!

Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!

Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!

Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!

Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie mnachekesha kweli yaani eti mkanipa na cheo kabisa,, nimekumbuka cute b aliwahi kuniita msemaji mkuu wa wanawake..

Lol sasa hivi watu wengi wameshaujua umri wangu kwahiyo nikishusha tena yale magazeti najua watakuwa wanajibu tu "utoto ndiyo unakusumbua kuwa kwanza",, ilikuwa raha sana kipindi kile kila mtu anajua mie ni mama mtu mzima nina mume na watoto wanne eti ndiyo walikuwa wananisikiliza hoja zangu.. yaani JF bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani una umri gani.?
You're not alone
 
nyie mnachekesha kweli yaani eti mkanipa na cheo kabisa,, nimekumbuka cute b aliwahi kuniita msemaji mkuu wa wanawake..

Lol sasa hivi watu wengi wameshaujua umri wangu kwahiyo nikishusha tena yale magazeti najua watakuwa wanajibu tu "utoto ndiyo unakusumbua kuwa kwanza",, ilikuwa raha sana kipindi kile kila mtu anajua mie ni mama mtu mzima nina mume na watoto wanne eti ndiyo walikuwa wananisikiliza hoja zangu.. yaani JF bhana

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna uzi ilianzishwaga wa jamaa anaetongoza wanaume wenzie pm, ndio tukagundua wanaoponda sana wanawake ni kina James, maana wanachafua image yetu ili watimize haja zao.

Kuna uzi nao mods walipita nao kuna mtu ulikuwa unaongelea mambo hayo hayo.

Hivyo Sakayo huyo uloona anaita wanae ndama na mkewe ng'ombe usiumize nao kichwa maana hata jamaa alofunguliwaga uzi ana mke na watoto lakini ni "chakula".
 
Back
Top Bottom