Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!
Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!
Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!
Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!
Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!
Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!






Mie nawasomagaaa naishia tu kusonya kimoyomoyo. Ukiwakuta mafurushi wanavyopeana moyo kwenye hamna unaishia tu kusema "hiiiiiii" Mungu atufanyie wepesi.





