Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!

Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!

Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!

Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!

Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!

Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
 
Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!

Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!

Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!

Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!

Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!

Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Umegonga point tupu
 
Sema wewe,, tukisema sisi..
Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!

Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!

Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!

Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!

Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!

Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol..

20191214_180822.jpg
 
Back
Top Bottom