Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,349
- 176,148
Haaha mbona ItelItel kabisa![]()



dah niacheni na tecno yangu iliyopasuka kioo jamani
Dogo unasupport sisi kutupwa kwa dustbin? Muone na tecno yake hahahaha



looh siyo kwa upambe nuksi huu 


Ushahidi na mashahidi wapo ASANTE sana @karma
Jr![]()
Umegonga point tupuNimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!
Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!
Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!
Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!
Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!
Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Baba parokoUmegonga point tupu





Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!
Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!
Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!
Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!
Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!
Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Daah wapi hiyo kaka?? Mbona umechelewa kuniambia jamani sasa hivi niko busy napack mizigo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo mgombanishi shee.Ushahidi na mashahidi wapo ASANTE sana @karma
Jr![]()



hiyo picha ya kwanza macho yake yamekaa kama ya Kevin Hart tena mfano mzuri tunao kwenye avatar ya kaka sumbai pale

narudi home baba,, wewe uko kwa wapi??
Unapak mizigo ya kwenda wapi. Leo natembea paka kule njia ya lami. Nipe direction...
Sent using Jamii Forums mobile app