khalas 😄😄😄50 50 mia
Tena aje haraka na adabu hii haikubaliki kwangu hata kdghebu aje akusikie hapa labda atavipa heshima kidogo😄😄
Fanya kunisusia 😂hebu aje akusikie hapa labda atavipa heshima kidogo😄😄
nakazia kabisaaTena aje haraka na adabu hii haikubaliki kwangu hata kdg
Nimesikitika sana, kitu kinachonikosesha usingizi,anaita kichuguu,sikubalinakazia kabisaa
Pita basiSio kweli
Nasikitika kusema, we utachomwa na gesi kwa kuongeza chumvi na kuongea unafiki 🤣Mkaka mzuri wewe 😍
Halafu nilijuaga maka ungekua mtu mzima flan mbaya..!! 😹😹
Kumbe hb la mwaka wa mbele..!! 😻
Kale kamwanya kale ningekapata wangenikoma 😹😹
Maumivu ya sehemu hiyo yalikuwa yakinisumbua sana, mie nikadhani ni sababu ya mamipira niliyokuwa nacheza...Nipo naugulia maumivu ya ugoko hapaaa sijadondoka sijateleza wala kujichoma ila hio sehemu inauma as if nimeteguka panauma balaaa itakua ninini??? Majeraha ya uzeeni yanataka yanipararaishe ama???
Shemuuu, 😂😂😂Umeona!
Duuuh pakame hivyoo??Iringa
😂😂😂Nimeona coca msumbufu sana mzoee..!!
Shem taratibuu, mbona wanitishaa atii.Nitatoa code kaa chonjo
Mbona km... Au macho yangu yana ukungu??
Kwenye shape humu shoouz angu anazidiwa na BL tuu.Bila unafki hakuna anayekuzidi kwa shape mama miongz..!! 😍😍
Hata waungane wake wenzio wote meyooo 😹😹
Hilo shape la sanchoka hata mama Paula haiingii..!!
Uniite nasubiri, huyu Ambition plus sijui mshangazi gani umemteka huko?? 😹😹
Ko nimepitwaa shape ikiwa ndani ya Abaya?Mi uduguu wangu wewe nakujua vyedi sijakujua jana..!! 😹
Hilo shape narudia tena hakuna JF 😍
Hata kulielezea nashindwa naona km sitolitendea haki..!!
Kuna siku ulivaa baibui lakini bado mzigo ukajitokeza..!! Shem anafaudu kiukweli 🥰🥰
Nikumbushe keshoPita basi
😂😂😂😂 supa tolu.😹😹 Tulikuwa na babu yetu humu anatupia migambuti km Paul Kagame..!!
Sawa RasNikumbushe kesho