Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂 supa tolu.
Bwana weeh 😹😹
Kule milimani hivi alikuwa anakagua nini?
Babu miga falah sana..!!
Nilicheka alivykutana na nkamu halafu akamfotoa pic akatuma humu aonekane demu wake..!! 😹😹😹
 
Kwenye shape humu shoouz angu anazidiwa na BL tuu.
Wengine wote kawafunikaaa, shape km Masogangee.
🔥🔥🔥
Hivi BL yuko wapi siku hizi kitambo aiseee..! 😹

Uduguu wetu mi naona wa kwanza bhana then BL anafata..!

No 3 inachukuliwa na bi Faiza 😹😹
Ana mshundu huyo balaa kuna siku alilipost wakware wakaanza kumtolea mate..!!
 
MC niko hapa siku ya 40 ya mtoto, shughuri tunayo na tunatamba nayo.
😂😂😂
MC hakikisha shem anatajwa kila muda maana katuheshimisha kina maaunt wa kijacho..!! 😹😹

Naanza kufunga sare ya bebi shawa mapema..!! Chagueni rangi
 
Mbona wamasai wanadunda tu.Ila mimi niliambiwa nyama ,mipombe,karanga mbichi,michainizi nikae nayo mbali.Ila Kuna watu wanakula minyama na kunywa mipombe hata hawaumwi.Matabibu ndio wanamjua Aisee .
Sasa kwanini kwa wengine inakuwa hivyo?
Unakuta kuna watu wanakula hovyo lakini hawanenepi..!!
 
😍😍😍 Tonnia wangu huyo rangi inashout yenyewe bila filter wala snap..!!

Uduguu wangu mkaree sana hukutakiwa kuishi bongo wewe Dubai kwa waarabu wenzio..!! 😻

Pole kwa kuwa mzuri, shape 10/10
Rangi 10/10

Shepu sasa huhitaji kujibinua wala kusimamisha mguu upande kitu kinafoka chenyewe..!! 🔥🔥🔥

Mamaaeh kuna watu mmeshusha bhana..!!
Kama Malkia wa Sheba vile 😘
Acha ukorofi. Tuchat na picha
 
Back
Top Bottom