Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,393
- 94,715
😜 Una kusudi, yani pamoja na kuvaa jeans lakini kitu kimechomoza upande..!! 😍😍
JF iko moto sana ina wakaka mahansamu tupu..!! 🔥🔥🔥
😜 Una kusudi, yani pamoja na kuvaa jeans lakini kitu kimechomoza upande..!! 😍😍
Oyooooooooooo 😍😍Mwenyewe hata sina mpya ngoja nkikuchekia ntakuita
Migambuti hujaiona😀😀😜 Una kusudi, yani pamoja na kuvaa jeans lakini kitu kimechomoza upande..!! 😍😍
JF iko moto sana ina wakaka mahansamu tupu..!! 🔥🔥🔥
Nipo naugulia maumivu ya ugoko hapaaa sijadondoka sijateleza wala kujichoma ila hio sehemu inauma as if nimeteguka panauma balaaa itakua ninini??? Majeraha ya uzeeni yanataka yanipararaishe ama???😹😹😹 hapo sasa unanichamba..!!
Em weka bhasi hilo shape uduu 😻
Pole my King nilikuwa na kazi Leo hatari,hapa ndo napumzika na ki redds changu 🍻🍺. Uko poa
😍😍 Mguu mzuri uduguu..!!Nipo naugulia maumivu ya ugoko hapaaa sijadondoka sijateleza wala kujichoma ila hio sehemu inauma as if nimeteguka panauma balaaa itakua ninini??? Majeraha ya uzeeni yanataka yanipararaishe ama???
Hafu ukute wewe babu miga unatuchora hapa 😹😹😹Migambuti hujaiona😀😀
Hiyo Kwa asilimia 80 itakuwa uric acid imezidi mwilini na inapelekea gout.Hapo tafuta Prednisone za buku na allopurinol uanze tiba .Acha nyama na pombe .Naongea Kwa uzoefu tu ( mimi sio daktari)Nipo naugulia maumivu ya ugoko hapaaa sijadondoka sijateleza wala kujichoma ila hio sehemu inauma as if nimeteguka panauma balaaa itakua ninini??? Majeraha ya uzeeni yanataka yanipararaishe ama???
Hapana hapo nipozungushia duara ndo panauma ghafla tu.😍😍 Mguu mzuri uduguu..!!
Hapo sioni au itakuwa mdudu kakutambaa?
Au unavaa viatu vya kutumbukiza kwa muda mrefu?
Wewe ndio ulikuwa unapenda sana kutumia hilo neno.Hafu ukute wewe babu miga unatuchora hapa 😹😹😹
Hii issue ya migambuti mi ndo niliileta humu..!! 😹
😹😹 Tulikuwa na babu yetu humu anatupia migambuti km Paul Kagame..!!Wewe ndio ulikuwa unapenda sana kutumia hilo neno.
Aiseeeee!! Tena nyama saivi napenda balaaaa mbona hatariiii!Hiyo Kwa asilimia 80 itakuwa uric acid imezidi mwilini na inapelekea gout.Hapo tafuta Prednisone za buku na allopurinol uanze tiba .Acha nyama na pombe .Naongea Kwa uzoefu tu ( mimi sio daktari)
Kumbe tuna madokta na hamsemi 😀Hiyo Kwa asilimia 80 itakuwa uric acid imezidi mwilini na inapelekea gout.Hapo tafuta Prednisone za buku na allopurinol uanze tiba .Acha nyama na pombe .Naongea Kwa uzoefu tu ( mimi sio daktari)
Mimi sio daktari ila hio shida inanitesa mara ya kwanza namimi nilihisi nimevunjika mpaka nikanunua dawa za kuchua kumbe ndio hio miuric acid.Kumbe tuna madokta na hamsemi 😀
Em nitajie dawa nzuri ya ulcers
Inauma balaa unaweza kusema umevunjika anza dawa na maji mengiiii sana.Minyama kaa nayo mbali na mipombe.Mi mwaka wa tatu huu inakuja inapotea ila maumivu yakeee usiombe.Aiseeeee!! Tena nyama saivi napenda balaaaa mbona hatariiii!
Wacha niwahi tiba mapema asante sana
Oohh..!! Sasa mi ninavyopenda nyama sijui itakuwaje..!!Mimi sio daktari ila hio shida inanitesa mara ya kwanza namimi nilihisi nimevunjika mpaka nikanunua dawa za kuchua kumbe ndio hio miuric acid.
Mbona wamasai wanadunda tu.Ila mimi niliambiwa nyama ,mipombe,karanga mbichi,michainizi nikae nayo mbali.Ila Kuna watu wanakula minyama na kunywa mipombe hata hawaumwi.Matabibu ndio wanamjua Aisee .Oohh..!! Sasa mi ninavyopenda nyama sijui itakuwaje..!!
Pombe sinywii ila nyama nikama nimekuwa addicted nayo saiii last year nimekula sana ilitokea ujauzito ukapenda sana nyama alooooo hata saa 8 9 kumi usiku nlikua naamka nakula imeendelea ivoivo . Ngoja nipunguzeInauma balaa unaweza kusema umevunjika anza dawa na maji mengiiii sana.Minyama kaa nayo mbali na mipombe.Mi mwaka wa tatu huu inakuja inapotea ila maumivu yakeee usiombe.