Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilipitiwa na usingizi, Sasa babu yangu kaniamsha nikalime shamba Ndo nikashtuka nikasema em ngoja nipite huku, kumbe mambo yalikuwa mambo humu nilivyolala 😂
Namimi ndio nimeamka alfajiri hapa nachochea kuni za makande ya biashara naona selfika notf, nawahi najua connection nakukuta kijana wa nyeto, hehehe leo una kibarua mbona😂
1780887719764.gif
 
Kwani umefanya nini? Jana mpaka nalala sijakuona humu kijana
Unakumbuka Kuna siku nilijichanganya nikaanza kukuita mnafiki, then tukamalizana pm kunielewesha?

The same thing ndo kilichotokea kati yangu na hao watu, n vile tuu wamejihisi na wala hata sikuwa nawasemea wao.

Bc wanatokwa na maneno Mia kwenye kitu cha kawaida mno, ety najiingiza kwenye mambo ya kike wakati n wao wamejihisi tuu 😂
 
Unakumbuka Kuna siku nilijichanganya nikaanza kukuita mnafiki, then tukamalizana pm kunielewesha?

The same thing ndo kilichotokea kati yangu na hao watu, n vile tuu wamejihisi na wala hata sikuwa nawasemea wao.

Bc wanatokwa na maneno Mia kwenye kitu cha kawaida mno, ety najiingiza kwenye mambo ya kike wakati n wao wamejihisi tuu 😂
Achana nao mbaga! Mambo ya kufanya ni mengi, ukishamjua mtu hawezi kukuumiza kichwa! Mimi nilikuwaga nabwatuka sana, nikashauriwa mno ndio nikajiona mjinga zaidi, hebu kafanye shughuli zingine huko!
 
Nikajua humu wote matajiri buana, ebo🤭
Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu 😎
Ila mfukoni n hoe hae

Afu Kwann uniunge kwenye group la kazi afu bado cjapata kazi? Sasa umuhimu wa kuwa na group n upi sasa?
C unaona mpaka nasemwa na umma 😂
 
Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu 😎
Ila mfukoni n hoe hae

Afu Kwann uniunge kwenye group la kazi afu bado cjapata kazi? Sasa umuhimu wa kuwa na group n upi sasa?
C unaona mpaka nasemwa na umma 😂
Heee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasa🤣
 
Heee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasa🤣
Nanyanyaswa kisa ww 😂
 
Back
Top Bottom