Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 20,934
- 59,918
Namimi ndio nimeamka alfajiri hapa nachochea kuni za makande ya biashara naona selfika notf, nawahi najua connection nakukuta kijana wa nyeto, hehehe leo una kibarua mbona😂Nilipitiwa na usingizi, Sasa babu yangu kaniamsha nikalime shamba Ndo nikashtuka nikasema em ngoja nipite huku, kumbe mambo yalikuwa mambo humu nilivyolala 😂