Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilipitiwa na usingizi, Sasa babu yangu kaniamsha nikalime shamba Ndo nikashtuka nikasema em ngoja nipite huku, kumbe mambo yalikuwa mambo humu nilivyolala 😂
Ulale wapi? Ulijificha kwenye kona wewe..!!
Hii iwe mwanzo na mwisho kuniongelea pumbaless.. Nilikuwa nakusubiri unilete hapa si umesema unanijua?? 😹😹😹

Ningeshangaa wewe unijue mimi?
Kumbe kuforce kuniomba pic pm ili tu baadaye ujitie unanijua?? We kumbe *** *** eehh!!
 
Afu umesahau kusema nilikuwa nakutaka 😸
Na namba ukanipa na sijakutafuta na ukaja kujieleza jukwaani unataniana tu. Nikakuuliza kwani mimi na wewe tuna mahusiano? 😹😹

Bora mengine unikumbushe mwenyewe 👌😹😹

Kwani hilo ndo tatizo?

Hivi ningekukubali ingekuwaje? 😹
Sasa hivi ungekuwa unauza ubuyu hapa.
Mimi huwa niko mbele ya muda.
Mwanaume ambaye kidume kweli huwa simleti pm najua atanipata. Nawataka km nyie machale chale tupige soga..!!

Mwanaume km kiranga azame pm unafikiri naweza kuchomoa? 😹😹
 
Na namba ukanipa na sijakutafuta na ukaja kujieleza jukwaani unataniana tu. Nikakuuliza kwani mimi na wewe tuna mahusiano? 😹😹

Bora mengine unikumbushe mwenyewe 👌😹😹

Kwani hilo ndo tatizo?

Hivi ningekukubali ingekuwaje? 😹
Sasa hivi ungekuwa unauza ubuyu hapa.
Mimi huwa niko mbele ya muda.
Mwanaume ambaye kidume kweli huwa simleti pm najua atanipata. Nawataka km nyie machale chale tupige soga..!!

Mwanaume km kiranga azame pm unafikiri naweza kuchomoa? 😹😹
😎😎🏃anyway ht sijui kuna nn
Acheni basi jmn
Tupendane humu duh!

Kwaheri
 
Hakuna kibarua wala kimemo, hao wote hawanisumbui n vile tuu wamejihisi hvy wakanivamia bure tuu hata sikuwa nawawaza
Umetuwaza ndiomana ukaja mbio mbio km mwenge wa uhuru kuja kujishaua unanijua eti “I know you” 😹😹 Jeezy WTF

Wewe utaishia kujuana na power mabula hizi no hukai mdogo wetu..!!
 
Mbaga na power mabula kaeni kwa kutulia nyie wote siwajui na wala shitaji kuwajua.

Mambo yenu ya huko kwenye bunge lenu msinihusishe, na huko pm kwa watu kunipandikizia chuki mkome..!!

Na wale wote mliojazwa chuki na power mabula nadhani mnanifahamu mimi ukizingua nakuzingua tunazinguana..!!

Huwa sina nidhamu ya uoga.
Lilinigombanisha na mahi wangu nwanakwetu na yule dogo likawajaza mineno hata haijulikani imetokea wapi? Sasa hivi ana kazi ya kutafutiza wengine nao awajaze mineno uzuri kuna mmoja kamsoma anamfanya km kituko 😹😹😹

Huyo anajua michezo ya humu hataki kubeba bifu la mtu…
Halafu hata sijuagi kipi huwa kinamuwasha kwangu dada power mabula 😹😹😹

Mimi sina bwana humu muwe na amani hao tunataniana tu!!
 
Unakumbuka Kuna siku nilijichanganya nikaanza kukuita mnafiki, then tukamalizana pm kunielewesha?

The same thing ndo kilichotokea kati yangu na hao watu, n vile tuu wamejihisi na wala hata sikuwa nawasemea wao.

Bc wanatokwa na maneno Mia kwenye kitu cha kawaida mno, ety najiingiza kwenye mambo ya kike wakati n wao wamejihisi tuu 😂
Muendelee kujichanganya vizuri 😹😹
Mbona hukurudi tena kusema km ulieleweshwa? Kwahiyo wewe unabeba ya huku unapeleka huko kisha unaleta huku??

Sasa mbona unajizungusha na kujichosha mwenyewe km pimbi..!! 😹

Mwanaume kuwa mmbea mmbea hata hainogi Mbaga. Unafanya wanaume wenzio waonekane hamnazo..!!

Ko ndo ukawaambia Lamomy unamjua 😹
Usikute na pic ya uongo ukawapa wewe hushindwiii 😹😹
 
Back
Top Bottom