Ilikuwa siku ya kuselfika, kosa umzidi mtu hata vuzi ndio kama hivi!🤣Kuna nini ndugu
❤️More love less ego, peace and love.
😂😂😂😂 unataka kutoa na wewee?? Njoo nikufunde mwali wangu, na huu mwezi ndio wa kujidaii, sema nikukatie tickets twende zetu taifa teule tukasherehekee, mambo yako 🔥 huko, na Mzee Neta ni Mgeni rasmi.Ww nae em kapeleke mkungu Huko, mwanaume mzima unatoa nnya.
Aisee ninacho kama Cha possh😁Mahi kwani una Kidoti na wewe? 😹😹
Watu wanaforce u Jokate kwa wanja
“Ukiwa muongo usiwe msahulifu” wao wanasahau km ndio walileta hayo mambo hata sikujua mpaka huyo Mbaga aliponiambia pmIla nimecheka sana, Eti Anasema kumbe alikosea kumuita mwenzie Mnafiki, kisa kuhusu picha sio zake, na wakaombana msamaha, sasa kwani hilo la kusema picha sio zake tulisema sisi, au m1 wao ndio alibwata humu ndani, na sisi tukachochea tu,
Wao ndio walisema wana picha zake OG na sio alizotuwekea sisi hapa, sasa hii ngenga inatoka wapii? Ila Watu 😂😂😂😂
Ndio madhara ya Umbea wa kujifunza ukubwani, unasahau hansard zote, Lol
Kuhusu Gugo lenzii wala sio jipya humu ndani mahi, ndio maana baadhi ya memba wameondoka kisa ni hiyo, na tulisanuliwa if unataka kuweka picha, fanya ku screenshot kwani, details zinafichwa.
Labda km kuna jipya jingine, na Lifike tu. Litapokelewaa.
😂😂😂😂 utaweza ku host mahiii??Tupewe vipindi udugu 😹
Pawa mabula mtamu, n ww tuu na jasho zako za KariakooHapo sawa, una stress sana mwili hauna nuru itakuwa pawa mabula anakunyonya sana damu..!! 😹😹😹
Hapo ndo Azam kumbe?
Niombee kipindi nije kufundisha uwekezaji na vijana..!!
Na uduguu wangu apewe cha SHENGESHA ZA KITAA NA COCASTIC 😹😹😹👌
Hongera sio cha kukandika na wanja km wenzio 😹😹Aisee ninacho kama Cha possh😁
Hahaha nina selfika kali kinouma , kesho nipo free nikilewa nitazipost 😃Ilikuwa siku ya kuselfika, kosa umzidi mtu hata vuzi ndio kama hivi!🤣
Week imeanza poa💃Rhabhekhaaa Mlongoooo, 😂😂😂😂
Naweza nashindwaje sasa? 😹😹😂😂😂😂 utaweza ku host mahiii??
Tamu sana hii“Ukiwa muongo usiwe msahulifu” wao wanasahau km ndio walileta hayo mambo hata sikujua mpaka huyo Mbaga aliponiambia pm
Bwana post na leo kishundu masta aanze kujigonga kama kawaida yake! 😆Hahaha nina selfika kali kinouma , kesho nipo free nikilewa nitazipost 😃
Sili mikungu mm, Endelea na wanaume wako wanaokofukua😂😂😂😂 unataka kutoa na wewee?? Njoo nikufunde mwali wangu, na huu mwezi ndio wa kujidaii, sema nikukatie tickets twende zetu taifa teule tukasherehekee, mambo yako 🔥 huko, na Mzee Neta ni Mgeni rasmi.
Shughuri iko na tunatamba nayoo!!!
Poleee wee!! 😂😂😂
😂😂😂😂 uduguu, una nini lakiniii?“Ukiwa muongo usiwe msahulifu” wao wanasahau km ndio walileta hayo mambo hata sikujua mpaka huyo Mbaga aliponiambia pm
Kkoo kuna jasho la pesa na ndio ndoto ya kila kiumbe duniani kunukia jasho la pesa 😹😹😹Pawa mabula mtamu, n ww tuu na jasho zako za Kariakoo
Kwahy hua navaa suruali za kiume au za kike?😂😂😂😂 unataka kutoa na wewee?? Njoo nikufunde mwali wangu, na huu mwezi ndio wa kujidaii, sema nikukatie tickets twende zetu taifa teule tukasherehekee, mambo yako 🔥 huko, na Mzee Neta ni Mgeni rasmi.
Shughuri iko na tunatamba nayoo!!!
Poleee wee!! 😂😂😂
Ndio nan huyo? Hii mpaka nilewe, hapa na usingizi wa hatari. na siku 2 sijalalaBwana post na leo kishundu masta aanze kujigonga kama kawaida yake! 😆