Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata haistuiiii, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Uje na jambo jipyaa, hili la Gugo Lenzi ni Old humu ndani, labdaa kwako wee ni geni.
Mimi wagoogle nimewaruhusu na huwa naweka kitu juu mpk chini sijali..!!

Waje hapa na majibu yao ila wasiniedit tu..

Yani watu wako busy kudownload app kisa pic za Lamomy seriously?

Mama Lamomy haupo duniani lakini watu wanateseka na uzazi wako ulioutotoa ๐Ÿ˜

Momy Lamomy Igweeeeeeeeeeee ๐Ÿซก๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
Umezua taharuki mwanamke wa shoka..!!
 
Wajaaaa!!

Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,

Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea ๐Ÿ”ฅ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.

๐Ÿ’™ mandeiiii!!
 
Mimi wagoogle nimewaruhusu na huwa naweka kitu juu mpk chini sijali..!!

Waje hapa na majibu yao ila wasiniedit tu..

Yani watu wako busy kudownload app kisa pic za Lamomy seriously?

Mama Lamomy haupo duniani lakini watu wanateseka na uzazi wako ulioutotoa ๐Ÿ˜

Momy Lamomy Igweeeeeeeeeeee ๐Ÿซก๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
Umezua taharuki mwanamke wa shoka..!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nacheka sanaa, Shengesha za JF siku hizi hasitui kabisa, sijui nimekua sugu.
Aaah.
 
Wajaaaa!!

Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,

Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea ๐Ÿ”ฅ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.

๐Ÿ’™ mandeiiii!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wajaaaa!!

Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,

Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea ๐Ÿ”ฅ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.

๐Ÿ’™ mandeiiii!!
Mlongo๐Ÿ˜
 
Uwe unanielewega mdogo angu ninavyowakatalia watu kufungua pm ndio km hivi sasa..!!

Kuchat kidogo tayari mtu anakujua eti ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Ila nimecheka sana, Eti Anasema kumbe alikosea kumuita mwenzie Mnafiki, kisa kuhusu picha sio zake, na wakaombana msamaha, sasa kwani hilo la kusema picha sio zake tulisema sisi, au m1 wao ndio alibwata humu ndani, na sisi tukachochea tu,

Wao ndio walisema wana picha zake OG na sio alizotuwekea sisi hapa, sasa hii ngenga inatoka wapii? Ila Watu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ndio madhara ya Umbea wa kujifunza ukubwani, unasahau hansard zote, Lol
Kuhusu Gugo lenzii wala sio jipya humu ndani mahi, ndio maana baadhi ya memba wameondoka kisa ni hiyo, na tulisanuliwa if unataka kuweka picha, fanya ku screenshot kwani, details zinafichwa.

Labda km kuna jipya jingine, na Lifike tu. Litapokelewaa.
 
Wajaaaa!!

Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,

Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea ๐Ÿ”ฅ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.

๐Ÿ’™ mandeiiii!!
Mtu kaselfika kila pozi la uso mpk kapaka katia Kidoti cha wanja lakini wapi haombwi pm ifunguliwe kapanic..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Hizo sio shida zetu ๐Ÿ˜น

Unajua na American boy katuletea hekaheka hapa. Aache kuniomba nifungue pm. Watu wanahisi hawaonekani..!!

Kanikumbusha enzi za babu miga alivyoona nimekataa akaniambia kwanza kabaya hafu pm anaomba appointment ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

JF inachekesha sana!!
 
Mtu kaselfika kila pozi la uso mpk kapaka katia Kidoti cha wanja lakini wapi haombwi pm ifunguliwe kapanic..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Hizo sio shida zetu ๐Ÿ˜น

Unajua na American boy katuletea hekaheka hapa. Aache kuniomba nifungue pm. Watu wanahisi hawaonekani..!!

Kanikumbusha enzi za babu miga alivyoona nimekataa akaniambia kwanza kabaya hafu pm anaomba appointment ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

JF inachekesha sana!!
๐Ÿ˜๐Ÿ˜Jamani,naona tu kidoti,kidoti๐Ÿ˜, kidoti tena๐Ÿ™„,mnanitisha.
 
Ww tena baby, ngoja nipost ili mpate lingine la kuongelea

View attachment 3603460
Hapo sawa, una stress sana mwili hauna nuru itakuwa pawa mabula anakunyonya sana damu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Hapo ndo Azam kumbe?
Niombee kipindi nije kufundisha uwekezaji na vijana..!!
Na uduguu wangu apewe cha SHENGESHA ZA KITAA NA COCASTIC ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ‘Œ
 
Hapo sawa, una stress sana mwili hauna nuru itakuwa pawa mabula anakunyonya sana damu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Hapo ndo Azam kumbe?
Niombee kipindi nije kufundisha uwekezaji na vijana..!!
Na uduguu wangu apewe cha SHENGESHA ZA KITAA NA COCASTIC ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ‘Œ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uduguu una nini lakiniii?? Hupoi tuu.
 
Back
Top Bottom