Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikajua humu wote matajiri buana, ebo🤭
Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu 😎
Ila mfukoni n hoe hae

Afu Kwann uniunge kwenye group la kazi afu bado cjapata kazi? Sasa umuhimu wa kuwa na group n upi sasa?
C unaona mpaka nasemwa na umma 😂
 
Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu 😎
Ila mfukoni n hoe hae

Afu Kwann uniunge kwenye group la kazi afu bado cjapata kazi? Sasa umuhimu wa kuwa na group n upi sasa?
C unaona mpaka nasemwa na umma 😂
Heee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasa🤣
 
Heee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasa🤣
Nanyanyaswa kisa ww 😂
 
Mi nilijaribu kurudi hata semester sikumaliza nikarudi kuwinga ada ikaenda bure 😹😹
Ikatokea short course Miezi 6 kuhusu biashara nikalipia hata sikwenda nikapata majanga kijana wangu wa dukani kamtia mimba binti wa watu mwanafunzi..!!

Nikaona hizi elimu za uzeeni niachane nazo..! 😹
😀😀😀Acha tu yaani ni kasheshe lecture anafundisha wa kausha damu wanakutumis sms ya vitisho 😂
 
😂 Dah ety dada power mabula.

Sasa mkisema Sio picha zangu, mm hapo naumia kwa lipi?
Afu hy kusema picha hazikuwa zangu n ww ndo ulianzisha Afu hapa unasema cjui n dada gn huko 😂

Naona unanilisha maneno kusema nilikuwa nakusema ww khs hiyo AI, yan hata sikuwa nakuwaza kwa lolote mana Hua sina kawaida ya kuingia sana humu na hy siku nmeingia humu nkakutana na picha nikasema em niigoogle h picha Ndo nikakutana na insta yake na wale haukuwa ww. Sasa hapo kusema nakusemea ww cjui imekuja vp.

Tulia baby, Acha presha ❤️
Wewe koma nilikuanzishia wapi?
Baada ya kupost selfika pic lako si ndo ukaja pm kuniambia power mabula malayaa anajifanya anakujua kumbe Hakujui na akileta ungese unamchana nikakujibu nini??

Ukanipa na screenshot hizo.
Nikakwambia achana nao wapuuzi tu hao.

Kwahiyo wewe ulitaka tuselfike km power mabula anaweka kidoti cha wanja aonekane pisi kali 😹😹😹

Mtu ambaye hata kuvaa changamoto watu tukiselfika full haamini anahisi sio sisi kwani anaishi na vitu gani huko??

Wewe na yeye wote mkome hivyo ndo nilivyo mumlaumu mama yangu kwa kunizaa.. 😹😹😹
 
Wewe koma nilikuanzishia wapi?
Baada ya kupost selfika pic lako si ndo ukaja pm kuniambia power mabula malayaa anajifanya anakujua kumbe Hakujui na akileta ungese unamchana nikakujibu nini??

Ukanipa na screenshot hizo.
Nikakwambia achana nao wapuuzi tu hao.

Kwahiyo wewe ulitaka tuselfike km power mabula anaweka kidoti cha wanja aonekane pisi kali 😹😹😹

Mtu ambaye hata kuvaa changamoto watu tukiselfika full haamini anahisi sio sisi kwani anaishi na vitu gani huko??

Wewe na yeye wote mkome hivyo ndo nilivyo mumlaumu mama yangu kwa kunizaa.. 😹😹😹
Astghafirullah lazimuuuuu
 
Afu ukiniandika jina hakikisha umenitag nione kwa urahisi, sio tena nipate shida kufuatilia story ilipoanzia
Nikutag km nani si umesoma sababu hayo ndio mambo yako uyapendayo..!! 😹😹😹

Tuna kikoba tunakaa mwisho wa mwezi karibu tukuunge..!!
 
Back
Top Bottom