Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aniombee kipindi Azam nikawachambe 😹😹

Mbaga nilikuwa namuheshimu ujue nilimchukulia km mshkaji kaniumiza sana kujihusisha na mambo ya kike..!!

Kwa alivyojiweka humu na mambo ya kike Hata hayampendezi..!!
Relax mdada, mbona mambo sio magumu hvy kama unavyotaka yawe.
 
Nilipitiwa na usingizi, Sasa babu yangu kaniamsha nikalime shamba Ndo nikashtuka nikasema em ngoja nipite huku, kumbe mambo yalikuwa mambo humu nilivyolala 😂
Namimi ndio nimeamka alfajiri hapa nachochea kuni za makande ya biashara naona selfika notf, nawahi najua connection nakukuta kijana wa nyeto, hehehe leo una kibarua mbona😂
1780887719764.gif
 
Namimi ndio nimeamka alfajiri hapa nachochea kuni za makande ya biashara naona selfika notf, nawahi najua connection nakukuta kijana wa nyeto, hehehe leo una kibarua mbona😂
View attachment 3603351
Hakuna kibarua wala kimemo, hao wote hawanisumbui n vile tuu wamejihisi hvy wakanivamia bure tuu hata sikuwa nawawaza
 
Kwani umefanya nini? Jana mpaka nalala sijakuona humu kijana
Unakumbuka Kuna siku nilijichanganya nikaanza kukuita mnafiki, then tukamalizana pm kunielewesha?

The same thing ndo kilichotokea kati yangu na hao watu, n vile tuu wamejihisi na wala hata sikuwa nawasemea wao.

Bc wanatokwa na maneno Mia kwenye kitu cha kawaida mno, ety najiingiza kwenye mambo ya kike wakati n wao wamejihisi tuu 😂
 
Unakumbuka Kuna siku nilijichanganya nikaanza kukuita mnafiki, then tukamalizana pm kunielewesha?

The same thing ndo kilichotokea kati yangu na hao watu, n vile tuu wamejihisi na wala hata sikuwa nawasemea wao.

Bc wanatokwa na maneno Mia kwenye kitu cha kawaida mno, ety najiingiza kwenye mambo ya kike wakati n wao wamejihisi tuu 😂
Achana nao mbaga! Mambo ya kufanya ni mengi, ukishamjua mtu hawezi kukuumiza kichwa! Mimi nilikuwaga nabwatuka sana, nikashauriwa mno ndio nikajiona mjinga zaidi, hebu kafanye shughuli zingine huko!
 
Back
Top Bottom