Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aniombee kipindi Azam nikawachambe ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mbaga nilikuwa namuheshimu ujue nilimchukulia km mshkaji kaniumiza sana kujihusisha na mambo ya kike..!!

Kwa alivyojiweka humu na mambo ya kike Hata hayampendezi..!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.
Ndio maana siku naona picha yake nilimchana, hufanani na mambo yako, aka react, ya humu ni ya humu, nilimuelewa pia.
 
NYC bwoii, punguza mahaba kwa Uduguu, Waja wanajua trip ya kwa maandishi 3 ni kugusa tuu,
Kumbe wala hata, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
We nawe Ntakuchapa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Hapo huyo Ambition sijamfungulia pm sa ningefungua ingekuwaje? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Kwa Kantry nimepigwa mawe mpk wengine wanamtag kwenye nyuzi wajitongozeshe na uzuri wa mweusi akili 2 akawachana โ€œNitamtooo mpaka akomeโ€ wakaona aibu mi nikapita nacheka zangu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Nyie wapuuzi mniletee vizee vyenu basi niwe mama yenu mdogo, ili nyie muwabebe hawa wanaume ninaotaniana nao..!!
 
Na ndimu kabisaa, km sio chachanduu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mjomba ako kaninunia kalipa ada juz juz alaf mtihani nimepata 5 sasa km akili hazitaki mm nifanyaje jamani anasema anaonea huruma wanae๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom