Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,994
- 13,311
Sio poaDah spana zime anza kutembea, yetu macho tu
Sio poaDah spana zime anza kutembea, yetu macho tu
Ohooo, sina info mzee, nimehisi tuuOngeza info kidogo 😅
Nijaze bichwa tu, halafu wanipige biti.Akupige nani bwana? Relax 😂😂😂 uzuri huu Uzi naujua vizuri mno
Kwanini nikimkaza udugu wako kuna tatizo?NYC bwoii, punguza mahaba kwa Uduguu, Waja wanajua trip ya kwa maandishi 3 ni kugusa tuu,
Kumbe wala hata, 😂😂😂
Shangaa na wewe tena mimi kaniletea na risiti kabisa nikampoza kimtindo wewe wapotezee..!! Yeye akalalamika power mabula kamwambia remmy ongala atampa pic zake anazo mimi namsifia simjui Mbaga sio huyo..!! Nikamuuliza uliwahi kumtumia pic zako? Akakataa..!!Ila hii Selfika, maana waliosema picha si zake si ndio hao hao ambao wako nae Pa1 leo?
Huyu kaka anajisahau sana, yeye na hao wenzake wanajuana kupitia uzi wa kazi na wakapelekana kuungwa group la tsup huko.
Labda ndiko walikofahamiania, sasa mengine hatuyafahamu.
Na hii ya Google lens wala sio yeye ndio wa kwanza kujua na kuleta hapa, Babu miga ndio alikuja kutusanua humu, na ilikua mwaka juzi vile, na ndio chanzo cha memba wengi kutoka huu uzi.
Mama malezi, mzigua, espy, shunie, makiseo, simara, yna2, etc.
Wakaona itakua michoreshoo, wakaamua kusepa na heshima/hekima zao.
Wala hakuna jipyaa kabisa.
Fresh kwa nilicho soma, naona uko sahihiOhooo, sina info mzee, nimehisi tuu
Haupigwii hapa, nitaandamana hadi Mikocheni JF HQ.Huu uzi utapigwa kufuli soon tu 😂😂😂🙌
😅 nishakuambia Relax, tuendelee kuwa wapenzi watazamaji 😅Nijaze bichwa tu, halafu wanipige biti.
Nishaziona dalili mapema 🔥🔥Haupigwii hapa, nitaandamana hadi Mikocheni JF HQ.
😂😂😂
Aniombee kipindi Azam nikawachambe 😹😹Picha gani si hiyo yuko kwenye Ofisi za Azam Media Ltd, hadi mwafula kasema ataanza kumuogopa, sijui wanamchota nani hasa, 😂😂😂
Mie najionea mauza uza tuu, aaaah 😂😂😂
Spana zinatembea😁Uzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
Nikupe kashata au haluwa?Uzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
Na yule mwingine Papa mobimba, 😂😂😂 ndio anajifanya ndumi la kuwili,.Shangaa na wewe tena mimi kaniletea na risiti kabisa nikampoza kimtindo wewe wapotezee..!! Yeye akalalamika power mabula kamwambia remmy ongala atampa pic zake anazo mimi namsifia simjui Mbaga sio huyo..!! Nikamuuliza uliwahi kumtumia pic zako? Akakataa..!!
Sasa mimi habari zao za ajira portal zinanihusu nini km walibebana mpk WhatsApp huko? 😹😹
Kumbe wanajuana sasa si wamalizane wenyewe..!!
Mbaga aliniforce kweli nimpe pic yangu nikagoma. Akaamua yeye anipe yake hata hivyo sikuwa na shida nayo coz sijamuomba..!!
Kumbe yupo Azam? Ujue mimi hata sijafatilia zile pic zaidi ya kumsifia tu..!! 😹😹
Aniombee kipindi Azam cha kuchamba niwachachue wana Dar 😹😹
😹😹😹 Halafu huu uzi una watu wa ajabu sana..!!😂😂😂😂 nimecheka hadi kupaliwaa, Vin kuumbuliwa kujifanya yuko eyapoti ya ufaransa, kumbe yuko kigamboni Mwembe radu.
Ila Selfika ilikua full drama, full heka heka, nywi nywi nywi za kushatooo.
😂😂😂😂
Khe kumeshakucha kumbeSpana zinatembea😁
Twende nikupeleke hadi Tuamoyo huko, 😂😂😂😹😹😹 Halafu huu uzi una watu wa ajabu sana..!!
Hiyo mwembe radu ufanye next weekend twende uduguu..
Nipe kabla sijasinzia na kahawa nipoteze usingiziNikupe kashata au haluwa?