Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanachekesha mara sijui wako kwa Ai wanatoa emoji mara wanapelekwa kwenye page. Ai em awalete kwenye gallery yangu chap wasituchoshe..!!

Kuselfika hawataki wapo kuotea km vipofu 😹😹
😂😂😂😂 uduguu una ninii? Leo mie ni shwangwee tuu.
Yaani shangwee tuu, 😂😂😂
 
Lamomy
Uduguu Ulimi wangu kazi yake kubwa ni kuzomea km hivyo!!
Basi naambiwa ninao km wa ng'ombe,
😂😂😂😂View attachment 3603286
Wazomee tu wapuuzi..!!
Watu wamezoea kushinda na ng’ombe basi kila mtu wanamuona ng’ombe hawataki kuwaona kwenye uhalisia wao 😹😹😹

Tuache kuselfika tunaumiza watu mioyo kumbe..!!
 
Back
Top Bottom